Hawa watu weusi huku Uarabuni wametoka wapi?

Hawa watu weusi huku Uarabuni wametoka wapi?

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
Kumchelile? Kwali mwenga!

Kila nikipita humu JF lazima nikutane na Uzi unazungumzia ukatili wa mwarabu. Miaka yangu yote ya kuperuzi humu jf imekuwa hivyo. Na zaidi ni kwa namna gani waarabu wanawachukia, wanawatenga na wanawatesa watu weusi. Nikajikuta nikiwa muumini wa Imani hiyo miaka yote. Na nikifuatilia jinsi wanavyotwangana huko mashariki ya kati Imani yangu ikaongezeka maradufu, yaani nikajua hakuna utu kabisa huko, mtu mweusi ndo takataka kabsaaaa!!

Likaja kombe la Dunia 2022 ambalo lilifanyika huko Qatar, nikiri kuwa katika mashindano yote ya kombe la dunia, hili ndo nililifuatilia vizuri zaidi.........lilinikuta likizo, nikiwa sidaiwi Huku nikiwa na shauku ya kuona hawa waarabu wanaandaaje kombe la Dunia la football badala ya uimbaji wa qaswida. Yafuatayo yalinishangaza huko;
-timu nyingi za nchi za kiarabu (niseme zilizoshiriki kombe la Dunia ,aana nyingine sijaziona) zimejaa wachezaji weusi.....tiiii.

- kamera za uwanjani zilipoonyesha mashabiki wao nilishangaa kuwaona makumi ya mashabiki weusi wakiwa katikati wanashangilia pamoja. Ni kama sikiwa naamini hivi nami nilishameza.

Mara Ronaldo anahama man u na kwenda huko Uarabuni, hii ikapelekea ligi ya huko kupata umaarufu na kuanza kuonyeshwa. Nami, nikiwa shabiki mkubwa wa huyo mwamba, nikaanza kuifuatilia ligi hiyo iliyoanza kuonyeshwa na king'amuzi changu maridadi Cha muda wote, startimes. Huko nilishangaa zaidi kuona wachezaji na mashabiki weusi kibao majukwaani wakishangilia timu zao. Nikazidi kupatwa na mshangao. Sijaona mweusi hata mmoja Argentina au Uruguay au Japan ila sijawahi kumsikia habari za kuwatesa Wala kuwatenga watu weusi zikisemwa dhidi yao.

Wajuzi na mliotembea na msio na upande, hebu niwekeni sawa kidogo nami nopate elimu......lipi ni lipi?

Ahsanteni.
 
Over 72 percent of Israeli men have cuckoldry fantasy


A shocking public poll conducted in the month of October 2024 has concluded that over 72 percent of married Israeli men have cuckoldry fantasies as it pertains to other men being with their wives.
 
Kumchelile?!!! Kwali mwenga!

Kila nikipita humu jf lazima nikutane na Uzi unazungumzia ukatili wa mwarabu.....miaka yangu yote ya kuperuzi humu jf imekuwa hivyo. Na zaidi ni kwa namna gani waarabu wanawachukia, wanawatenga na wanawatesa watu weusi. Nikajikuta nikiwa muumini wa Imani hiyo miaka yote. Na nikifuatilia jinsi wanavyotwangana huko mashariki ya kati Imani yangu ikaongezeka maradufu.....yaani nikajua hakuna utu kabisa huko, mtu mweusi ndo takataka kabsaaaa!!

Likaja kombe la Dunia 2022 ambalo lilifanyika huko Qatar, nikiri kuwa katika mashindano yote ya kombe la dunia, hili ndo nililifuatilia vizuri zaidi.........lilinikuta likizo, nikiwa sidaiwi Huku nikiwa na shauku ya kuona hawa waarabu wanaandaaje kombe la Dunia la football badala ya uimbaji wa qaswida. Yafuatayo yalinishangaza huko;
-timu nyingi za nchi za kiarabu (niseme zilizoshiriki kombe la Dunia ,aana nyingine sijaziona) zimejaa wachezaji weusi.....tiiii.
- kamera za uwanjani zilipoonyesha mashabiki wao nilishangaa kuwaona makumi ya mashabiki weusi wakiwa katikati wanashangilia pamoja. Ni kama sikiwa naamini hivi nami nilishameza.

Mara Ronaldo anahama man u na kwenda huko Uarabuni, hii ikapelekea ligi ya huko kupata umaarufu na kuanza kuonyeshwa. Nami, nikiwa shabiki mkubwa wa huyo mwamba, nikaanza kuifuatilia ligi hiyo iliyoanza kuonyeshwa na king'amuzi changu maridadi Cha muda wote, startimes. Huko nilishangaa zaidi kuona wachezaji na mashabiki weusi kibao majukwaani wakishangilia timu zao. Nikazidi kupatwa na mshangao. Sijaona mweusi hata mmoja Argentina au Uruguay au Japan ila sijawahi kumsikia habari za kuwatesa Wala kuwatenga watu weusi zikisemwa dhidi yao.

Wajuzi na mliotembea na msio na upande, hebu niwekeni sawa kidogo nami nopate elimu......lipi ni lipi?!!!

Ahsanteni.
Tukijua tafsiri ya nani anapaswa kuitwa Mwarabu basi itaturahisishia swali lako.

Mwarabu ni nani?
Asili ya waarabu wanatokana na kizazi cha nabii Ismail mtoto wa nabii Ibrahim.

Mwarabu anaweza kufafanuliwa kuwa ni member wa watu wa semitic, wanaoishi sehemu kubwa ya Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini. Sifa zinazowaunganisha Waarabu ni makabila, lugha, tamaduni, historia, utaifa, na jiografia.

Kifupi Itoshe kuwa ukiwa na sifa hizi basi yatosha wewe kuitwa mwarabu. Ndio maana utakuta msudani mweusi tiiii lakini kwa kuwa ana sifa zilizotajwa basi na yeye anaingia kwenye uarabu.

Kwa hiyo tukirudi nyuma karne kwa karne toka enzi za firauni ( tusizungimzie uislamu hapa maana wakitajwa waarabu tu watu akili zao zinawatuma kuwa waarabu wote ni waislamu) walikuwepo watu weusi na kwa kuwa walikuwa wana tamaduni kama zao, kijiografia wamekaribiana basi hawa wote walihesabika ni waarabu na walipokelewa kwenye nchi za kiarabu wakiwaona kuwa ni wenzao na vizazi vyao vikaenea mpaka leo hii.
 
Kumchelile?!!! Kwali mwenga!

Kila nikipita humu jf lazima nikutane na Uzi unazungumzia ukatili wa mwarabu.....miaka yangu yote ya kuperuzi humu jf imekuwa hivyo. Na zaidi ni kwa namna gani waarabu wanawachukia, wanawatenga na wanawatesa watu weusi. Nikajikuta nikiwa muumini wa Imani hiyo miaka yote. Na nikifuatilia jinsi wanavyotwangana huko mashariki ya kati Imani yangu ikaongezeka maradufu.....yaani nikajua hakuna utu kabisa huko, mtu mweusi ndo takataka kabsaaaa!!

Likaja kombe la Dunia 2022 ambalo lilifanyika huko Qatar, nikiri kuwa katika mashindano yote ya kombe la dunia, hili ndo nililifuatilia vizuri zaidi.........lilinikuta likizo, nikiwa sidaiwi Huku nikiwa na shauku ya kuona hawa waarabu wanaandaaje kombe la Dunia la football badala ya uimbaji wa qaswida. Yafuatayo yalinishangaza huko;
-timu nyingi za nchi za kiarabu (niseme zilizoshiriki kombe la Dunia ,aana nyingine sijaziona) zimejaa wachezaji weusi.....tiiii.
- kamera za uwanjani zilipoonyesha mashabiki wao nilishangaa kuwaona makumi ya mashabiki weusi wakiwa katikati wanashangilia pamoja. Ni kama sikiwa naamini hivi nami nilishameza.

Mara Ronaldo anahama man u na kwenda huko Uarabuni, hii ikapelekea ligi ya huko kupata umaarufu na kuanza kuonyeshwa. Nami, nikiwa shabiki mkubwa wa huyo mwamba, nikaanza kuifuatilia ligi hiyo iliyoanza kuonyeshwa na king'amuzi changu maridadi Cha muda wote, startimes. Huko nilishangaa zaidi kuona wachezaji na mashabiki weusi kibao majukwaani wakishangilia timu zao. Nikazidi kupatwa na mshangao. Sijaona mweusi hata mmoja Argentina au Uruguay au Japan ila sijawahi kumsikia habari za kuwatesa Wala kuwatenga watu weusi zikisemwa dhidi yao.

Wajuzi na mliotembea na msio na upande, hebu niwekeni sawa kidogo nami nopate elimu......lipi ni lipi?!!!

Ahsanteni.
Nionyeshe mwarabu mweusi aliyeko Uarabuni hata mmoja kwa asili kama walivyo Tyson, mc Hammer wa Marekani.
 
Back
Top Bottom