Copro mtego
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 619
- 796
Yanga wanachofanya ni kutafuta milage tu hamna cha kesi wala nini, kila kitu wamekipanga ili kufanya hamasa ya siku ya mwananchi na haya hayajatokea kwa bahati mbaya.
Siku watanzania tukiyaekewa haya wasanii na wanamichezo wataacha kutengeneza kiki, watafocus na kazi kwa weledi.
Soma=> Simon Patrick: Yanga itaenda mahakamani kuweka zuio la kukabidhi timu kwa wazee walioishtaki
Siku watanzania tukiyaekewa haya wasanii na wanamichezo wataacha kutengeneza kiki, watafocus na kazi kwa weledi.
Soma=> Simon Patrick: Yanga itaenda mahakamani kuweka zuio la kukabidhi timu kwa wazee walioishtaki