Hawaaminiani tena Dodoma

Hapa kujiokoa kwa chama chenu ni uwazi na ukweli sio wa chenkapa bali uwazi wa nani anahusika, amekula au ameoga hizo pesa za EPA na Richmond!
 

unajuaje kama walikutana kwenye unga unga????
 
[ [/QUOTE]

Mama 50,

Hivi chama chenu ndiyo kile cha mafisadi ambao wakinyoshewa kidole tu basi inakuwa vurugu mtindo mmoja? Hivi unataka Fisadi amwamini nani zaidi ya Fisadi mwenzake?

Ushauri wangu ni kuwa Mafisadi wote walio kwenye hicho "chama chenu" watimuliwe au wajiengue wenyewe watuachie Chama chetu; hili si suala la chenu na chetu, tunataka kuona Tanzania yenye neema na maisha bora kwa kila mtanzani na si habari za chama chenu na chama chetu.

NAKUOMBA UWE MZALENDO ZAIDI, ULINDE MASLAHI YA TANZANIA KWA AJILI YA AMANI NA MUSTAKABALI MWEMA WA WATANZANIA, NA SI MUSTAKABALI WA CHAMA CHETU NA CHAO!
 
Sasa hawa jamaa kama hawaaminiani hivyo, wanaendeshaje nchi?

Machache mazuri tuliyonayo as a nation, yametokana na wao kutoaminiana, mkuu siku wakiaminiana tumekufa ni afadhali waendelee hivyo hviyo walivyo sasa yaani kutoaminiana!
 
Machache mazuri tuliyonayo as a nation, yametokana na wao kutoaminiana, mkuu siku wakiaminiana tumekufa ni afadhali waendelee hivyo hviyo walivyo sasa yaani kutoaminiana!


Hapo umenena FMES.

Mama 50, wacha hali iendelee kuwa mbaya wachujane wenyewe kwa wanyewe mpaka wabaki wasafi.
 
AFu JK ana niudhi kweli, Hivi anashindwa nini kuacha haki ichukue mkondo wake?

Yaani watu tunawangwa vichwa badala tufikirie mambo mengine ya kutuletea maendeleo tunabakia kuimba ufisadi ufisadi, kwanini asiache haki itendeke? aliyekosea awajibishwe?

Hako ka kifua unako wakingia mafisadi mwishowe katapasuka mkuu, wacha kila mtu abebe mzigo wake! Kalagabaho!
 

Kumbe mwenzetu uko nao karibu hivyo!!! May be wasaidie kuwapa ushauri
 
Hawa wakuu sidhani kama walikua wanaaminiana siku zote, ni kwamba walikua wanaficha tu sura zao halisi, bila shaka ili kulinda ulaji. Hatukujua uhalisia wao.
 
kwi kwi kwi Kuvuja kwa pakacha...... kusema ukweli mi naomba wajichanganye hivyo hivyo ili 2010 tuwapige chini wafutike kama KANU maana hivi vyama tawala ukishaviondoa madarakani basi huwa vinakufa kifo cha mende. miaka 46 mliyoiba inatosha tupisheni wenye uchungu wa kuifikisha TZ kwenye maendeleo ya kweli.
 
Naona mpaka mpiganaji Harrison ameamua kuacha shangingi na kutumia mark2 sasa.
 

Haya ni mawazo ya kifisadi. Wapinzani nao ni Watanzania ambao wamelitolea jasho Taifa la Tanzania. Hebu fumbua macho uone kwamba CCM tuliyoijua miaka ile siyo hii ya sasa, sasa kimekuwa ni chama cha mafisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…