Hawajui by Mwanafa feat Jay dee

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
Bonge la dude toka kwa binamu na woman and a half 'jay dee' aka anaconda.complex ndo alitengeneza hyo huku adam juma akismamia video. Bahati mbaya umepata pigo kwani wahusika hawawezi tena imba pa1. Pgo kubwa!
 
suruali inanifunguka,vicheche vikikatsha,mshahara ukitoka sirudi hadi umekwshwa,
kicheche mkali sikumbuki hata ndoa yetu!
 
basi na hawa wangeitwa ikulu kupatanishwa.
 
Bonge la dude toka kwa binamu na woman and a half 'jay dee' aka anaconda.complex ndo alitengeneza hyo huku adam juma akismamia video. Bahati mbaya umepata pigo kwani wahusika hawawezi tena imba pa1. Pgo kubwa!

Pigo liko wapi? Hii ni hit song kwa sasa? Huu wimbo unauwezo wa kuwapa show kwa sasa.

Bila shaka kuzungumzia bif lao was your primary intention.
 
Pigo liko wapi? Hii ni hit song kwa sasa? Huu wimbo unauwezo wa kuwapa

radio hauhit but masikioni mwangu bdo hit. pgo ni kuwa hawatoweza tena tengeneza hits kama alikufa kwa ngoma na msiache kuongea!
 
Kwenye mialiko ya ikulu mwanafa unamjua au unamsikia?,alienda bhana,kudadeki

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kwenye mialiko ya ikulu mwanafa unamjua au unamsikia?,alienda bhana,kudadeki

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

siku muonapo kwenye maphoto yaliyoletwa humu! ila jide ndo hakutmba
 
maana ya kudadeki ni nini?, I'm from kenya so pliz dont mind me asking

Unataka kujua maana,au unataka tujue we mtu wa wapi?? Ata baadhi ya watanzania hawajui maana ya hilo neno so go to the point

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wewe MwanaFA shule umeenda lkn haijakusaidia/haijakukomboa kifikra. iga afanyayo rafiki yako Ambwene, fanya muziki for commercial ukutoe achana na beef za kutengenezewa. Jide ni dada yako, respect her, hutapungukiwa kitu.
 
Mwenye wimbo ulioingizwa kati pale Fa na Dudu Baya wanapigana plz auweke humu JF. VERSE MOJA

Ni verse moja tu ya matawi ya juu,ni verse moja tu ya Fa na dudu,ni verse moja tu inayonifanya nitambe na kama ukitaka beef na mimi ni sawa na kubusu umeme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…