njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Kwako Bumbuli. ombea sana kesho mshinde la sivyo mkifungwa wa kwanza raia wa utopoloni kushuka naye jumlajumla ni wewe
Umefanya press conference na Ahmed , ulishindwa kabisa kumpa makavu ya uhakika ndugu yangu ukawa unachekacheka tu wana yanga wamechukia sana
Umeonekana mtaani ukiwa umeshika speaker za mende na kunguni kuhamasisha mashabiki wakati hiyo ni style ya team masikini isiyojitambua. brand chapa GSM siyo ya kutembea mtaani na kupanda juu ya mafuso.
Yanga siyo ya kimaskini hivyo unaikosea brother, mwanza hakuna serena lakini ungeitisha press conference gold crest au malaika beach sehemu zenye hadhi ya yanga kuhamasisha mechi
Mashabiki wanadai huo mshahara wako bora uongezwe kwenye zile MILLIONS 9 KWA MWEZI anazolipwa semaji lisomi kuliko wote afrika mashariki na kati linalomiliki degrees mbili toka south africa na china, semaji lenye upeo na busara za hali ya juu
Mashabiki wanaomba uongozi umuondoe Bumbuli haraka na nafasi hiyo ishikwe na semaji lisomi kwani kwa sasa cheo chake kimekuwa kama cha uchawa wakati anafanya kazi nzuri ya kutunga majina ya utani ingawa kuhusu jina makolo wamesema atafute jina jingine kwani kwa kiswahili fasaha linaamanisha mjomba ikibidi aunde kamati chini ya jamaa aliyetoa jina la utopolo ili kutafuta jina jipya la makolo kwa msimu ujao
Soon semaji lenye degree mbili linaenda kula millions 15 kwa mwezi kutokana na kazi nzuri anayochapa, he works so hard..oh my Goooood.
Umefanya press conference na Ahmed , ulishindwa kabisa kumpa makavu ya uhakika ndugu yangu ukawa unachekacheka tu wana yanga wamechukia sana
Umeonekana mtaani ukiwa umeshika speaker za mende na kunguni kuhamasisha mashabiki wakati hiyo ni style ya team masikini isiyojitambua. brand chapa GSM siyo ya kutembea mtaani na kupanda juu ya mafuso.
Yanga siyo ya kimaskini hivyo unaikosea brother, mwanza hakuna serena lakini ungeitisha press conference gold crest au malaika beach sehemu zenye hadhi ya yanga kuhamasisha mechi
Mashabiki wanadai huo mshahara wako bora uongezwe kwenye zile MILLIONS 9 KWA MWEZI anazolipwa semaji lisomi kuliko wote afrika mashariki na kati linalomiliki degrees mbili toka south africa na china, semaji lenye upeo na busara za hali ya juu
Mashabiki wanaomba uongozi umuondoe Bumbuli haraka na nafasi hiyo ishikwe na semaji lisomi kwani kwa sasa cheo chake kimekuwa kama cha uchawa wakati anafanya kazi nzuri ya kutunga majina ya utani ingawa kuhusu jina makolo wamesema atafute jina jingine kwani kwa kiswahili fasaha linaamanisha mjomba ikibidi aunde kamati chini ya jamaa aliyetoa jina la utopolo ili kutafuta jina jipya la makolo kwa msimu ujao
Soon semaji lenye degree mbili linaenda kula millions 15 kwa mwezi kutokana na kazi nzuri anayochapa, he works so hard..oh my Goooood.