Hawara Hajengewi Nyumba; Hununuliwa Gari

Bazazi

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2008
Posts
2,806
Reaction score
3,485
Wakuu nilibahatika kuwakuta ndugu wawili wakizozana, mkubwa akimlaumu mdogo kwa kumjengea nyumba small haouse wake wakati mkubwa anasema huo ni upuuzi. Hoja ya mkubwa ni kuwa nyumba umempa kitu cha kudumu ambacho hatakuwa akikutegemea tena ilhali gari lazima awe tegemezi hivyo hawezi kukuacha kirahisi.

Naomba nililete kwetu mliangalie katika pande zote mbili za sarafu.

Nawasilisha wakulu wange:angry:
 
Wote ni washenzi wa tabia! Wamelaaniwa; waulize shangazi zao na wajomba wamewazawadia kitu gani; usikute hata wazazi wanaishi kwenye mbavu za mbwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…