Hawezi kusoma hadi a2mie....>>>

Ni rafik yako au wewe mwenyewe?
 
Kwani we kijiti si sigara tu au wewe unafikiri tairi wacha watu waenjoy wanavyojua wao.Mbona wengine pombe sana hao hawana shida kwako ehh
 
kwahiyo alizaliwa anakula kijiti? all in all ni upuuzi mtupu na sifa za kijinga next time utakuja kusema kuna jamaa awezi kusoma bila kujiingiza kidole mat@koni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…