Haya amkeni amkenii! Yanga wanaonewa tena wakiwa mgongoni

Wanachofanya Yanga ni kama kuichelewesha Mahakama kufanya kazi yake wakati ushahidi upo wazi kabisa na hukumu ishajulikana. Chura FC inajitutumua ili eti kuichelewesha Lunyasi kuchukua ndoo yake, Utopolo bana!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Shadeeya leousiachekuangaliamabingwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…