Haya Angalieni Gari za Ulaya ipi nzuri?

Hivi NYUMBU bado wapo na wanafanya kazi au..?
Mbona hatuoni/kusikia progress zozote au miye mgeni..?
wakiona maonyesho kama haya sijui wanajisikiaje...
 
Ehee bwana eee,hawa jama hatari!
 
U can pimp ur ride hata bongo! Kwani hamuoni Limos barabarani?
zimesukwa na mdosi gerezani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…