Siku hizi, Mmebakiwa na misifa tu.
Mmesoma lkn chakushangaza toka mpate uhuru HAMNA CHUO KIKUU KAGERA !!
Mmeishia kuishi nyumba za kupanga tu Town hapa, lkn tukienda vijijin kwenu bado wazazi wenu wanalala kwa nyasi.,, majan ya migomba, wanajisaidia vichakan .
Sifa mnazo Town..ila kwenu HAMNA KITU[emoji109]
Ni kweli mkuu, shahada zao wa
Sawa, fani ya UTAPELI naona umejisahaulishaNimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.
Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,
International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir
NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,
Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv
Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,
Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki
Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.
TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga
Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?
Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA
Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,
Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa
Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com
Dar feels the pinch of global financial crisis
Nenda Vijijini huko utakuta mijumba ya maana.Mbona mkoa wa Kagera na hasa mji wa Bukoba ni dhaiful hali (dhooful hali). Mpo wapi mnashindwa kujenga kwenu?
Sent using Jamii Forums mobile app
"most intelligent" wamevumbua kitu gani cha faida kwa jamii ya Watanzania let alone Africa??Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.
Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,
International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir
NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,
Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv
Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,
Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki
Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.
TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga
Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?
Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA
Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,
Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa
Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com
Dar feels the pinch of global financial crisis
Hebu soma post kuu ya huu Uzi."most intelligent" wamevumbua kitu gani cha faida kwa jamii ya Watanzania let alone Africa??
kwenye uzi hakuna jawabu la swali langu.Hebu soma post kuu ya huu Uzi.
Kabla ya Uhuru kulishakuwepo na Bunge kamili kule uhayani.kwenye uzi hakuna jawabu la swali langu.
ngoja nili fine tune swali langu tena...jee, "most intelligent" wamevumbua kitu gani cha faida kwa jamii ya Wahaya let alone Tanzania? maana kule Uhayani sijaona kinachoweza kuthibitisha uwepo wa the so called "most intelligent" people!
kwa hiyo Nyerere ndiye aliyefanya Wahaya wasitumie u "most intelligent" wao kufanya uvumbuzi wowote wa maana?Kabla ya Uhuru kulishakuwepo na Bunge kamili kule uhayani.
Ila Kwa sababu ya propaganda za Nyerere ambazo zimeathiri mpaka sasa ni kutaka mkoa huu ufanane na mikoa Mingine ili usije ukarudisha ukabila bongo
Fuatilia hotuba ya Nyerere mwaka 1994 kuhusu ukabila .au nenda YouTube andika Nyerere na wahaya.
Sasa wamebaki Tu kuendeleza vijijini huko ambako Kwa tz hakuna mpinzani
Ndo maana wamekimbila nje .kwa hiyo Nyerere ndiye aliyefanya Wahaya wasitumie u "most intelligent" wao kufanya uvumbuzi wowote wa maana?
mimi najua mtu ambaye ni "most intelligent" ana uwezo wa kuwa na plan B, C, D, nk ili afanikiwe katika anachokipigania!
haya, tuseme upo sahihi.... but jee, huko Ulaya wamevumbua nini??Ndo maana wamekimbila nje .
Unajua idadi ya wahaya waliopo marekani? Ulaya je?
Wengine wameama kabisa nchi na hawarudi huku tena
Hebu nikupe tu bongo hapa kuna huyu mdada muhaya hapa.haya, tuseme upo sahihi.... but jee, huko Ulaya wamevumbua nini??
details?Hebu nikupe tu bongo hapa kuna huyu mdada muhaya hapa.
Diana kaijage amevumbuka kitanda cha umeme cha kubebea wagonjwa huko must
Wewe kwenu umejenga. Mbona mnatapika upupu upupuMbona mkoa wa Kagera na hasa mji wa Bukoba ni dhaiful hali (dhooful hali). Mpo wapi mnashindwa kujenga kwenu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Waitdetails?
Hebu kasome hiyo habariHebu nikupe tu bongo hapa kuna huyu mdada muhaya hapa.
Diana kaijage amevumbuka kitanda cha umeme cha kubebea wagonjwa huko must
Nenda Vijijini huko utakuta mijumba ya maana.
Hakuna sehemu yenye vijiji vilivyo na magheto makali kama Bukoba