Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Karibuni weekend nadhani ipo njema kabisa. Sasa ,mimi nimewaita kwa issue moja tu muhimu. Msikasirike sisi watu wenye Ubara ndani yetu huwa hatujui kuuma uma maneno.
Nyie Watanzania wenzangu inakuaje mpaka sasa Zaidi ya Miaka 15 hamwoni haja ya kujenga Ofisi ya Makao Makuu?Mnaogopa nini?
Ni kama hamjiamini na mnajua siku yoyote chama kitakufa. Maana kama si hivyo mlikuwa na uwezo wa kujenga ofisi ya chama kubwa ya kisasa kabisa. Pengine wasiwasi ni kuwa chama si cha kudumu je mkijenga jengo litakuwa la nani ikitokea mwenyekiti ameondoka.
Kwa sasa Chadema kinakosa watu wenye akili watu wazima kama akina Prof Safari, Baregu. Ukimtoa Tundu Lissu unabaki na akina nani? Hilder?
Jengeni ofisi bwana kila siku mnaonekana wahuni. Ni sawa na kijana ambaye hataki kujenga, haoni haja maana ameshapima amekutwa ana ngoma au kansa. So anasema ajenge ili iweje? wacha ale maisha. Amekata tamaa.
Mi nawaambia ukweli hata kama mta mind. Ukweli ni upi? Mnakula pesa za chama/ruzuku? Hamjiamini kudumu muda mrefu? Wahuni na walaji ni wengi?mwenyekiti hajaona umuhimu wa kujenga sababu wasiwasi ni mkubwa?
Nimekaa pale 👉
Nyie Watanzania wenzangu inakuaje mpaka sasa Zaidi ya Miaka 15 hamwoni haja ya kujenga Ofisi ya Makao Makuu?Mnaogopa nini?
Ni kama hamjiamini na mnajua siku yoyote chama kitakufa. Maana kama si hivyo mlikuwa na uwezo wa kujenga ofisi ya chama kubwa ya kisasa kabisa. Pengine wasiwasi ni kuwa chama si cha kudumu je mkijenga jengo litakuwa la nani ikitokea mwenyekiti ameondoka.
Kwa sasa Chadema kinakosa watu wenye akili watu wazima kama akina Prof Safari, Baregu. Ukimtoa Tundu Lissu unabaki na akina nani? Hilder?
Jengeni ofisi bwana kila siku mnaonekana wahuni. Ni sawa na kijana ambaye hataki kujenga, haoni haja maana ameshapima amekutwa ana ngoma au kansa. So anasema ajenge ili iweje? wacha ale maisha. Amekata tamaa.
Mi nawaambia ukweli hata kama mta mind. Ukweli ni upi? Mnakula pesa za chama/ruzuku? Hamjiamini kudumu muda mrefu? Wahuni na walaji ni wengi?mwenyekiti hajaona umuhimu wa kujenga sababu wasiwasi ni mkubwa?
Nimekaa pale 👉