naona mods wamezihujumu posts zetu hapa
..Carmel, lait wahusika wangekuwa wanakubali kuwaambia na kuyafanyia kazi wala nisingekuwa hapa muda huu. Tatizo nikimwambia kuwa mshikaji masuala ya usafi vipi? utasikia mbona mi niko bomba tu au ndio umenichoka unanitafutia fisa???sasa tukusaidieje. hayo ni mambo unayotakiwa kumwambia muhusika. Hata wakati anasaini mkataba wa kuingia na wewe 6*6 awe anajua.
naona mods wamezihujumu posts zetu hapa
Inabidi kabla ya mechi uwe unakagua mdomo, kwapa na vingine ili kujiridhisha kuwa hakuna harufu hiyo ya kukera ndio utainjoi mechi.