Haya huwa yananikera sana......

Haya huwa yananikera sana......

Sajenti

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
3,651
Reaction score
413
Wanajf mwenzenu nikiwa katika maeneo ya 6x6 kuna vijimambo huwa vinanikera sana kiasi hufikia hatua ya kupoteza hata appetite ya kupiga mechi. Nikikutana na msichana au mwanamke mwenye kaharufu ka mdomo, jasho, anafumba macho muda wote wa mechi,nikipiga bao anaharakisha kutafuta kufuli yake ili awahi kuondoka au anataka kumegana wakati wa giza tu (hapendi mwanga) kwa kweli naweza kumfuta katika mahusiano na nisimtafute tena....Ni mtazamo wangu tu.
 
Wanajf mwenzenu nikiwa katika maeneo ya 6x6 kuna vijimambo huwa vinanikera sana kiasi hufikia hatua ya kupoteza hata appetite ya kupiga mechi. Nikikutana na msichana au mwanamke mwenye kaharufu ka mdomo, jasho, anafumba macho muda wote wa mechi,nikipiga bao anaharakisha kutafuta kufuli yake ili awahi kuondoka au anataka kumegana wakati wa giza tu (hapendi mwanga) kwa kweli naweza kumfuta katika mahusiano na nisimtafute tena....Ni mtazamo wangu tu.
...HIVI KUMBE HUJAOA?....
mwanaume ambaye ni bachelor haruhusiwi kupost unachokiandika hapo.

UNAWADHIHIRISHIA WANA-JF KWAMBA WEWE NI MALAYA?....!halafu umalaya sio ujanja mdogo wangu.

SHAME ON YOU!
 
yuko katika kutafuta Geoff dont be hard on him. Si siku hizi kutafuta mpaka muonje!! Wasichana wa siku hizi kazi mnayo. Haziishi hizo na wala haziliwi na nyenyere zitunzenu tu ah!
 
Wanajf mwenzenu nikiwa katika maeneo ya 6x6 kuna vijimambo huwa vinanikera sana kiasi hufikia hatua ya kupoteza hata appetite ya kupiga mechi. Nikikutana na msichana au mwanamke mwenye kaharufu ka mdomo, jasho, anafumba macho muda wote wa mechi,nikipiga bao anaharakisha kutafuta kufuli yake ili awahi kuondoka au anataka kumegana wakati wa giza tu (hapendi mwanga) kwa kweli naweza kumfuta katika mahusiano na nisimtafute tena....Ni mtazamo wangu tu.
embu tupe sababu za maana kwanini akifumba macho unachukia, anataka kumegwa gizani unahefuka etc...why?
 
...HIVI KUMBE HUJAOA?....
mwanaume ambaye ni bachelor haruhusiwi kupost unachokiandika hapo.

UNAWADHIHIRISHIA WANA-JF KWAMBA WEWE NI MALAYA?....!halafu umalaya sio ujanja mdogo wangu.

SHAME ON YOU!
...Poa mdogo wangu, kwani kuoa umeona ni deal sana?? Ok endelea kutembeza bakuli..Good luck!
 
...Poa mdogo wangu, kwani kuoa umeona ni deal sana?? Ok endelea kutembeza bakuli..Good luck!
hhahahahaha!....
GROW UP!..
UMALAYA KWENU HUKO HUKO....!ushoga kwenu huko huko!....HELL
 
Wanajf mwenzenu nikiwa katika maeneo ya 6x6 kuna vijimambo huwa vinanikera sana kiasi hufikia hatua ya kupoteza hata appetite ya kupiga mechi. Nikikutana na msichana au mwanamke mwenye kaharufu ka mdomo, jasho, anafumba macho muda wote wa mechi,nikipiga bao anaharakisha kutafuta kufuli yake ili awahi kuondoka au anataka kumegana wakati wa giza tu (hapendi mwanga) kwa kweli naweza kumfuta katika mahusiano na nisimtafute tena....Ni mtazamo wangu tu.


Mwelezee mtu wako na miswaki unue weye ya akiba pia jitahidi kabla ya mechi ingieni wote bafuni kwa pamoja! Inatia raha zaidi.
 
Mwelezee mtu wako na miswaki unue weye ya akiba pia jitahidi kabla ya mechi ingieni wote bafuni kwa pamoja! Inatia raha zaidi.
.. Ni kweli MJ, ni ushauri mzuri sana. Hata mimi nina amini katika kuelezana once ukiona kuna kitu afanyacho mwenzako hakiko sawa nami pia ni muwazi na naruhusu kukosolewa. Lakini naonekana nina ajenda ya siri ya kumpiga chini...Sielewi kwa nini??
 
Geoff na Laligeni vipi mmegonganisha madesa mtaani nini? Huko chawote bar kuna mambo!
 
Geoff na Laligeni vipi mmegonganisha madesa mtaani nini? Huko chawote bar kuna mambo!

|Mie nimeona ila nikasema ni majicho yangu tu siku hizi hayasomi vizuri. Mambo ya Eliza au siyo? Kaazi kweli kweli
 
|Mie nimeona ila nikasema ni majicho yangu tu siku hizi hayasomi vizuri. Mambo ya Eliza au siyo? Kaazi kweli kweli

Atakuwa Eliza tu huyo analeta mambo hapa.... Laligeni kaoa Geoff anaoa, anataka kukamata Eliza bila kuomba ''password'' kwa Geoff! 🙂
 
Geoff na Laligeni vipi mmegonganisha madesa mtaani nini? Huko chawote bar kuna mambo!
hehehe!
mdogo wangu huyu mpuuzi!
unajua mimi mtu anaewadhihaki wanawake sooo direct and open kwa vitu ambavyo havina ukweli NAMCHUKIA SANA
 
Atakuwa Eliza tu huyo analeta mambo hapa.... Laligeni kaoa Geoff anaoa, anataka kukamata Eliza bila kuomba ''password'' kwa Geoff! 🙂
..Teehh teehh!! Masaki hapa umeniburudisha sana. anyway unadhani ni Eliza basi? Si unajua kule kwetu kipindi kama hiki na hasa wakati ambapo mwezi unaangaza sana usiku wazee walikuwa wanatushauri kuwa kama unajua nduguyo hayuko sawa hiki ndio kipindi cha kuwa naye karibu maana akiwa alone lolote linaweza kutokea. Sasa dogo Geoff naona anapata moto sana...najua ndio muda wenyewe huu atapoa tu shaka ondoa mkuu....Hapa ni peace 100%
 
..Teehh teehh!! Masaki hapa umeniburudisha sana. anyway unadhani ni Eliza basi? Si unajua kule kwetu kipindi kama hiki na hasa wakati ambapo mwezi unaangaza sana usiku wazee walikuwa wanatushauri kuwa kama unajua nduguyo hayuko sawa hiki ndio kipindi cha kuwa naye karibu maana akiwa alone lolote linaweza kutokea. Sasa dogo Geoff naona anapata moto sana...najua ndio muda wenyewe huu atapoa tu shaka ondoa mkuu....Hapa ni peace 100%
......noted!
 
Back
Top Bottom