Kiukweli mwali halipi ila kwasababu tumeoa hatuna budi kukomaa naeHaya Jamani Ndio Mwali Kigego Huyo
Yanga2-0 Simba
Hatimaye Bibi Harusi Kaolewa.Walijiamini sana kupata ushindi katika mechi sita zilizopita lakini wakasahau hata kabla ya mechi ya septemba 26, walikuwa wameshinda mech3 mfululizo, lakini tukawatibulia kwa kuwachapa 2-0 kama leo.Hivyo tayari tushawapa laana sijui watakuwa na mwenendo katika mechi zijazo.