GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mm sijajifunza mpira bali ni mshabiki wa mpira...Umejifunza mpira lini?
1.Egypt
2. Nigeria
3. Belgium
4. France
5.
Mm sijajifunza mpira bali ni mshabiki wa mpira...
Kimsingi, nashabikia timu kulingana na jinsi moyo wangu ulivyoipenda timu... Sishabikii timu kwa kutizama majina makubwa ya wachezaji waliopo kwenye timu husika
Hizo timu mm nazielewa sana bila kujali zitabeba au hazitobeba title
Ujerumani
Umesha nitisha! Wewe umesema TUCHAGUE TIMU ZA KUSHABIKIA. Ki uhalisia, hakuna timu itakayokosa kushabikiwa!Umejifunza mpira lini?
Umesha nitisha! Wewe umesema TUCHAGUE TIMU ZA KUSHABIKIA. Ki uhalisia, hakuna timu itakayokosa kushabikiwa!
M' nashabikia England, ingawa hiyo timu, ni kama TAIFA STARS, ugonjwa wa moyo wa kufikia tu!
Hivi gentamycine unaweza hata kupiga japo danadana hata 5 hivi?Zifuatazo ni Timu za GENTAMYCINE kuelekea Fainali za Kombe la Dunia huko Urusi mwezi ujao ambazo nina uhakika zipo ambazo zitaenda hadi Robo na Nusu Fainali na hadi moja wapo kuibuka kuwa Bingwa hapo mwezi July:
Karibu na Wewe uweke / utaje Timu zako ' pendwa ' Tano tu unazoziamini kuwa zitatoboa vyema huko Urusi.
- Argentina
- Germany
- Spain
- France
- Senegal
Nawasilisha.
1. Simba SC1.Egypt
2. Nigeria
3. Belgium
4. France
5.
Mkuu, tatizo wewe unadhani labda kila mtu ni lazima ashabikie timu kubwa.Wewe lazima tu utakuwa unajua na unaujua pia mpira. Kuna Mtu kanitajia Saudi Arabia yaani nimebaki tu mdomo wazi!
Mkuu, kuishabikia timu hakuhusiani kabisa na kujua mpira. Ushabiki unaendana na mapenzi na hisia kutoka moyoni.Mtu yoyote anayeshabikia England hajui kabisa Mpira. Samahani kama nitakuwa nimekuudhi / nimekukwaza kwa hili Mkuu.
Hivi gentamycine unaweza hata kupiga japo danadana hata 5 hivi?
1. Simba SC
2. Liverpool FC
3. FC Barcelona
4. Mabwepande Veterans