[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uchaga na upare ndo mambo Yao na Hilo lipo wazi
We utakua mchaga eeh..?😄😄[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nimeshaisikia uchagani japo ni rare cases. Lakini pia tusisahau kuna mataifa ambayo kuoana ndugu kwa ndugu ni kitu cha kawaida so tusijidai kushangaa saana..Mm n mpare ila hii ishu ndo naisikia leo
Hapanaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We utakua mchaga eeh..?[emoji1][emoji1]
Yap technically hakuna kabila la wachaga bali kuna makabila mengi yaliyoathiriana ki mila na kilugha kama vile huonavyo walivyoathiriana wanyamwezi na wasukuma na wanyaturuHii ipo adi kwa akina marealle nasikia baba na binti ,mama na kijana wake ndio Mila zao.
Kuna dada akaolewa huko Ile kuchunguza akakutana na Maza yupo na kijana wake ,mke akaambiwa ndio kwetu utaratibu Kama huwezi sepa.
Labda waseme ni WA wapi Mana kale kawilaya ni ka dogo Ila kabila nyingi mno ,Ila wanajiita jina moja la wachaga na wakati hakuna kabila la wachaga Kuna wamarangu,siha,machame etc
Du ,Wanyaturu?!😁Yap technically hakuna kabila la wachaga bali kuna makabila mengi yaliyoathiriana ki mila na kilugha kama vile huonavyo walivyoathiriana wanyamwezi na wasukuma na wanyaturu
Uwii uwiii !!!!! mama yangu leo umenifungua macho kumbe ndio wanavyofanya hivi? mama yangu sa sijui tunaoendaga misibani tumepunguziwa aslimia ngapi kwa ulimbukeni wetu wa kujifanya wema saana? nimekomaaa baba asante sirudii tena, kumbe ndio maana utakuta watu wengine hawali misibani kwa watu halafu utakuta wanasemwa vibaya eti wanaringa kumbe wale hawalingi bali ni wajanjakama wataniondoa kwenye kabila poa tu. kuna ukweli mmoja tu ninaoweza kuamini, ile kuacha mke home, unaenda kutafuta maisha mkoa x, unakaa huko hata miaka 5. babamkwe kupitia inawezekana. pia kwa maagano ya kichawi, makabila mengi tu hula binti zao na kulala na mama zao. pia, kwa wapare na wachaga kwasababu familia huwa na muunganiko mkubwa, ukoo upo pamoja, vikao vingi, watoto wanakuwa na umoja sana kiukoo, watu wowote wale wakiwa pamoja muda mwingi mwingi kuingiliana kimwili inatarajiwa kama hawatakuwa makini.
ila kitu ambacho naogopa kukisema hapa, ni siri kubwa sana kwenye misiba, ile tunaendaga kuzika home, wachaga hukamua viuchafu fulani na kuchanganya kwenye supu au msosi ili watu wengi wakila inasemekana laana ya kifo itakuwa imegawanywa kwa watu wengiii na kama imegawanya kwa maelfu basi kwenye familia ile itakuwa imepunguzwa sana hivyo hawatakuwa wanakufa kindezi tena. ni mahesabu tu, sawa na una mkate mmoja watu wengi wakaja kuumega unabaki kidogo.
kwa mchaga wa kweli, anayemhofu Mungu, hili huwa hawezi kulitamka, ila utamsikia tu anasema mimi sitaki mila na hata akienda huko anakwepa kushiriki haya na mengine mengi ya kimaagano yapo, tutayafichua.
kwa wapare, kwasababu ya ushirikina mwingi, kuingiliana kimwili inaweza kuwa kwasababu za kichawi. upareni uchawi kitu cha kawaida sana. hata hawa wapo mjini akipata shida utakuta anasema anataka kupiga simu home, anapiga simu na wanafanya uchawi yeye yupo mjini. mwogopeni Mungu.
Ubarikiwe saana bro kwa kutufunulia hili watu wana roho mbaya saana umenifunza siri teena wala sinywi misibani yaani mtu unathubutu kulipa jema ulilofanyiwa kwa baya? ama kwa hakika hayo ni mafundisho ya shetanikama wataniondoa kwenye kabila poa tu. kuna ukweli mmoja tu ninaoweza kuamini, ile kuacha mke home, unaenda kutafuta maisha mkoa x, unakaa huko hata miaka 5. babamkwe kupitia inawezekana. pia kwa maagano ya kichawi, makabila mengi tu hula binti zao na kulala na mama zao. pia, kwa wapare na wachaga kwasababu familia huwa na muunganiko mkubwa, ukoo upo pamoja, vikao vingi, watoto wanakuwa na umoja sana kiukoo, watu wowote wale wakiwa pamoja muda mwingi mwingi kuingiliana kimwili inatarajiwa kama hawatakuwa makini.
ila kitu ambacho naogopa kukisema hapa, ni siri kubwa sana kwenye misiba, ile tunaendaga kuzika home, wachaga hukamua viuchafu fulani na kuchanganya kwenye supu au msosi ili watu wengi wakila inasemekana laana ya kifo itakuwa imegawanywa kwa watu wengiii na kama imegawanya kwa maelfu basi kwenye familia ile itakuwa imepunguzwa sana hivyo hawatakuwa wanakufa kindezi tena. ni mahesabu tu, sawa na una mkate mmoja watu wengi wakaja kuumega unabaki kidogo.
kwa mchaga wa kweli, anayemhofu Mungu, hili huwa hawezi kulitamka, ila utamsikia tu anasema mimi sitaki mila na hata akienda huko anakwepa kushiriki haya na mengine mengi ya kimaagano yapo, tutayafichua.
kwa wapare, kwasababu ya ushirikina mwingi, kuingiliana kimwili inaweza kuwa kwasababu za kichawi. upareni uchawi kitu cha kawaida sana. hata hawa wapo mjini akipata shida utakuta anasema anataka kupiga simu home, anapiga simu na wanafanya uchawi yeye yupo mjini. mwogopeni Mungu.
yaa! wanyaturu wamaeathiriana saana na wasukuma na wameoleana nao saanaDu ,Wanyaturu?!😁
Binafsi nilivyosikiaga ilikuwa ni mila yao huko upareni na nilikuwa naipuuzaga kuwa ni uzushi tu mbaka nilipokutana na hao watu watatu waliokuwa wanakula biti zao wote ni wapare ndio nikasema inawezekana kile nilichokuwa naambiwaga kinaweza kuwa na ukweli ila sikatai pia suala la tabia ya mtu binafsiHiyo ni tabia ya kabila au mtu! Mimi Nina wafahamu 2 walihisuwa kufanya hayo mambo....mmoja Msukuma ,mwingine Mnyiramba!
aisee we umeongea pointi kweli hawa madem zetu wa kuwarukia rukia tu huku mitaani unakuja kurukia bonge la demu we hujui kumbe kwao wana ifungo na laana na mbaya zaidi ukizaa nae watoto wanakuja na baadhi ya vifungo ya kurithi vya laana tatizo hapa ni wewe baba uliyekurupuka kwa njaa na uroho wako wa ngonoHiyo sio tabia... Ni laana...
Kama kuna mzee alietangulia akafanya jambo hilo bhas kinakuwa ni kitu cha kujirudia... Wanaridhishana hiyo laana... Hadi pale nuru itakapo ingia na kuvunja hiyo chain kuanzia uzao uliotangulia.
Ni kwa kila kabila hiyo... Kama ilivyo kuna magonjwa ya kurithi... Pia kuna tabia za kurithi... Tuwe makini na jamii tunazotengamana nazo... Ni kuji peleka kwenye vifungo ambavyo kutoka kwake sio jambo jepesi/rahisi
Niliwahi kuon kwa macho nilivyo kuwa mdogo kwa Mhaya Baba na bint yake baady kaka naye akaja kupita kwa dada yake.Hiyo ni tabia ya kabila au mtu! Mimi Nina wafahamu 2 walihisuwa kufanya hayo mambo....mmoja Msukuma ,mwingine Mnyiramba!