Haya madai ya tabia za ajabu za Wapare za kutembea na ndugu na binti zao ina ukweli?

duh!!
 
Ubarikiwe saana bro kwa kutufunulia hili watu wana roho mbaya saana umenifunza siri teena wala sinywi misibani yaani mtu unathubutu kulipa jema ulilofanyiwa kwa baya? ama kwa hakika hayo ni mafundisho ya shetani
usijekula masupu kwenye misiba ya kichaga, hata ile ya migombani.
 
ni imani tu, sio kwamba kuna laana inakuja, kinacholeta kichefuchefu ni ile kukamua viuchafu kidogo na kuweka kwenye vyakula/supu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…