Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Wame copy ktk benz hiyo bodyHii gari inatengenezwa Nigeria na kampuni ya Innoson Group of Companies, kwa muonekano wake naona liko vizuri; vipi yalishaanza kuingia hapa nchini?
Ubora wake ukoje?
View attachment 2158406
Kweli, ukiangalia kwa haraka haraka unaweza kufikiri ni benzWame copy ktk benz hiyo body
Ameuliza ubora wake.Wame copy ktk benz hiyo body
Hapana iliyodororaG wagon iliochangamka
Kabisa🤣🤣🤣Hapana iliyodorora
Ukoo mmoja na TATA, MAHINDRA au NYUMBU🤣🤣🤣Hii gari inatengenezwa Nigeria na kampuni ya Innoson Group of Companies, kwa muonekano wake naona liko vizuri; vipi yalishaanza kuingia hapa nchini?
Ubora wake ukoje?
View attachment 2158406