Haya majibu wanayojaza watoto wa form iv tusipokua makini wataanza na kujisaidia ktk vyumba vya miti

Haya majibu wanayojaza watoto wa form iv tusipokua makini wataanza na kujisaidia ktk vyumba vya miti

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Nimeshangazwa sana na taarifa ya matokeo ya kidato cha nne,uchungu ulizidi ikabidi nicheke ili niupunguze kidogo....nilijua ni mwonekano wa kimavazi tu wa nje....ile kupiga mlegezo kumbe mpaka akili zimelegea........! Na nyie wazazi? Alaaa hawa watoto wa wazazi kabisa ndugu zangu...kama leo wanaandika verse za bongo favour kuna siku wataku******* ndani ya chumba cha mtihani na watajisafishia karatasi ya maswali.....hii ni dharau elimu imekua haina thamani tena , watoto hawaoni umhimu wake kabisa......Mi sijui nifanye nisaidie wanamaliza kidato ila nasikia uchunguuuuuu!:A S 465:
 
Nimeshangazwa sana na taarifa ya matokeo ya kidato cha nne,uchungu ulizidi ikabidi nicheke ili niupunguze kidogo....nilijua ni mwonekano wa kimavazi tu wa nje....ile kupiga mlegezo kumbe mpaka akili zimelegea........! Na nyie wazazi? Alaaa hawa watoto wa wazazi kabisa ndugu zangu...kama leo wanaandika verse za bongo favour kuna siku wataku******* ndani ya chumba cha mtihani na watajisafishia karatasi ya maswali.....hii ni dharau elimu imekua haina thamani tena , watoto hawaoni umhimu wake kabisa......Mi sijui nifanye nisaidie wanamaliza kidato ila nasikia uchunguuuuuu!:A S 465:


Ulitaka waandike nini kama hawakufundishwa? Wakiandamana wanapigwa mabomu pengine wameona hii ndiyo njia pekee ya kufikisha ujumbe. Baadala ya kuwalaumu inatakiwa kujiuliza kunini inazidi kuwa hivyo? Namna nyingine yoyote itakuwa ni uvivu wa kufikiri.
 
Ulitaka waandike nini kama hawakufundishwa? Wakiandamana wanapigwa mabomu pengine wameona hii ndiyo njia pekee ya kufikisha ujumbe. Baadala ya kuwalaumu inatakiwa kujiuliza kunini inazidi kuwa hivyo? Namna nyingine yoyote itakuwa ni uvivu wa kufikiri.

Tena nasikia wengi wameandika ile ya Izzo B-Naongea na Ridhwani.
 
Back
Top Bottom