Kuna majina ya hawa watu wawili, mmoja ni mwanasiasa Kwa maana ya DC na mmoja ni mwanadiplosia. Haya majina ni Godwin Gondwe na Godwin Gonde. Haya majina nimekutana nayo na kidogo yamekuwa yananichanganya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.