Haya mambo si mazuri yanashusha hadhi ya tiba asili

Haya mambo si mazuri yanashusha hadhi ya tiba asili

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Watu wa tiba asili mnafumbia macho mambo haya yanashusha hadhi ya tiba asili. Unakuta mtu anaenda na dawa za kienyeji mnadani, au anatembeza mitaani kama nguo chukueni hatua. Pigeni marufuku mbona watu hawabebi Fansida, Alu nk kupeleka mnadani? Wauze mahala maalum Ili hata mgonjwa akihitaji huduma yake amfate mahala na wawe na vibali.
 
Back
Top Bottom