Wewe bado upo upo sio? Haha umenichekesha sana oa ndugu usiogope
samaki mmoja akioza unamtoa unamtupa unaendelea kukaanga wengine....
Njoo huku mwaya mie natafuta wa kukaanga hahah LOL sijakuona maena kwa muda sasa .........hari ya mwaka mpya na mole na majanga ya serikalisamaki mmoja akioza unamtoa unamtupa unaendelea kukaanga wengine....