Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anadhani yupo facebook...jf sio ya watu wa dsm tu.
naona umepitiwa kidogo
Huu ndio uandishi wa mwanaume wa dar.Niko hapa nanunua had nmechanganyikiwa,sjui naenda hifadh wap.yaan nmenunua ma5 et.dah hiv haya si yataoza
NDO UZI TAYARI HUU
Na wewe siku nyingine uwe unangalia na jukwaa kwanza kabla ya kucomment.jf sio ya watu wa dsm tu.
naona umepitiwa kidogo
Hakuna ubaya, lakini kila sehemu kuna aina yake ya uandishi na wachangiaji. Huwezi kufananisha instagram au whatsapp na twitter...Kwan kua fb kuna ubaya gan kiongoz,au hujui zuckerbag ni tajir bilionea namba 1 dunian.na ameshainunua whatsapp anaelekea kuinunua instagram
nipe utofaut wa hao wachangiaj....na unithibitishie kama hao wachangiaj hawajawai kua na account za fb hata mara1 ktk maisha yao..naamin hata wew unayo kiongozHakuna ubaya, lakini kila sehemu kuna aina yake ya uandishi na wachangiaji. Huwezi kufananisha instagram au whatsapp na twitter...
Sihitaji kukupa utofauti kwani aina ya uandishi wako tu inajidhihirisha. Kwanza hushangai andiko hili limehamishwa kutoka Habari na Hoja Mchanganyiko na kutupwa huku Chit-Chat?...nipe utofaut wa hao wachangiaj....na unithibitishie kama hao wachangiaj hawajawai kua na account za fb hata mara1 ktk maisha yao..naamin hata wew unayo kiongoz
na wewe unatakiwa kujulishwa kuwa uzi huu umehamishiwa huku baada ya mimi kuwa nimecomment.Na wewe siku nyingine uwe unangalia na jukwaa kwanza kabla ya kucomment.
tuko pamoja.Daah,nilisahau kiongoz