Kama 9/4/2013 alisema hivyo sasa kafuta kauli yake ndo mana anawafanyia kazi (kumbuka swala la KUFUTA KAULI kama inavyofanya CHADEMA KWA LOWASSA KUHUSU UFISADI) labda museme DIAMOND yeye haruhusiwi kufuta kauli ila Tundu Lissu anaruhusiwa.Dah! hivi kweli Serikali imekosa majibu ya swali la mh: Mbunge kuhusu mapato ya biashara ya ringtones..!? Kweli sasa naanza kuamini kuwa Serikali Inatukumbatiaga tu kwa Mda mfupi na kututumia Wasanii kwenye Kampeni zao kwa Maslahi yao Binafsi, kisha wanatu Damp Baada ya kufanikiwa kwenye Uchaguzi wao, bila kujali Thamani na Mchango wetu kwao.....
11k Likes2.7k Comments1.1k Shares
Like Comment Share
.
- SOURCE: FACEBOOK ACCOUNT YA DIAMOND PLATINUM
sasa hivi rais kampromot yuko juu kinoma hana shida, ndio maana hata akasema kwa ccm anajitolea ila ukawa wakimhitaji ni malipo. kashasahau machungu kuhusiana na kauli yake, ila wenzie ambao hawako kama yeye je ile kauli haiwahusu?!
Ukishiba una nawa
Kama 9/4/2013 alisema hivyo sasa kafuta kauli yake ndo mana anawafanyia kazi (kumbuka swala la KUFUTA KAULI kama inavyofanya CHADEMA KWA LOWASSA KUHUSU UFISADI) labda museme DIAMOND yeye haruhusiwi kufuta kauli ila Tundu Lissu anaruhusiwa.
Ndugu unaongea vitu usivyovijua... inaonekana unaifahamu vizuri tasnia ya siasa kuliko tasnia ya muziki vinginevyo ungefahamu kwamba mikataba ya ringtones ya wakati wa lalamiko hilo ni tofauti na siku hizi! Zamani middle men ndo walikuwa wamehodhi biashara ya ringtones coz' ni wao ndo walikuwa wanaingia mkataba na kampuni za simu... kwahiyo kampuni za simu zilikuwa hazimtambui msanii! Mbaya zaidi, biashara yenyewe ilikuwa imehodhiwa na Omni Mobile. Lakini hivi sasa huo utaratibu umeshabadilishwa... mwanamuziki ni uamuzi wako, kuingia mkataba na kampuni za simu moja kwa moja ili kukata mirija ya wakala, au unaweza kuendelea na utaratibu wa zamani wa kumpa wakala ale bila jasho! Sasa ikiwa unaweza kuingia mkataba wewe mwenyewe halafu kampuni ya simu ikakulalia, then that's your problem! Ikiwa wasanii wanafahamu kwamba pasipo na wao hakuna ringtones za Bongo flavor basi wana uwezo wa kuwakazia kampuni za simu na wao wakapata royalty inayostahili!Dah! hivi kweli Serikali imekosa majibu ya swali la mh: Mbunge kuhusu mapato ya biashara ya ringtones..!? Kweli sasa naanza kuamini kuwa Serikali Inatukumbatiaga tu kwa Mda mfupi na kututumia Wasanii kwenye Kampeni zao kwa Maslahi yao Binafsi, kisha wanatu Damp Baada ya kufanikiwa kwenye Uchaguzi wao, bila kujali Thamani na Mchango wetu kwao.....
11k Likes2.7k Comments1.1k Shares
Like Comment Share
.
- SOURCE: FACEBOOK ACCOUNT YA DIAMOND PLATINUM