Haya maneno.. Jelous...insecure.... Ina maana unanifuatilia


Nimekupa vyema tu, na ninakubaliana na wewe. Mkiwa na uhusiano you are responsible and accountable to one another jinsi mlivyokubaliana.

Na ktk hali inayofaa, ni vizuri kutoa maelezo kabla ya maswali; mf. Nitachelewa kurudi, nitakutext au kukupigia kabla kuwa ninafanya abcd ambayo itachukua muda. n.k!

Sasa mtu hatoi udhuru, na akiulizwa anajiwahi kwa ukali au kutumia hayo maneno ni poor defense mechanism ambayo mtu anaivumilia kwakuwa kakupenda na si kwakuwa umefanikiwa kumdanganya!
 
Sioni kwa nini uulizwe suala na mume/mke wako ukatae kujibu, hata kama unaona ni la kipuuzi.


Muulizaji kaona la msingi ndo maana akauliza, kwa hiyo mridhishe kwa kujibu lolote alitakalo.

Besides, 'wivu sunnah'
 
=======================================
Jealous = Wivu?
Insecure = Kutokuaminiana?
Obsession = Gubu?
Love = Kupenda/Kuthamini?
Feeling = Hisia?
=======================================
 
Kama akikujibu una wivu mbona sio tatizo lakununa au kugombana, mwambie kukuonea wivu lazima wewe mke/mume wangu
kama sijamuonea wivu wewe nimuone nani?
 
Asante Nyani Ngabu

Kuna watu kukiri wana wivu wanaona ni aibu kubwa, wakati ni kawaida kabisa

Mie ninafurahia na wivu wangu wa suna lol

Nitauliza swali lolote hadi nijibiwe na kuelewa, ya nini kujitesa nafsi na maisha yenyewe ni haya haya?

Wivu is a natural human emotion. Kwa hiyo hakuna aibu kwenye kuona wivu. Ni nani asiyeona wivu?

Ni kwamba jamii tu ime-stigmatize na kufanya watu waone ni kama kitu kibaya sana wakati sio kibaya kihivyo.
 
Last edited by a moderator:
Asante Nyani Ngabu

Kuna watu kukiri wana wivu wanaona ni aibu kubwa, wakati ni kawaida kabisa

Mie ninafurahia na wivu wangu wa suna lol

Nitauliza swali lolote hadi nijibiwe na kuelewa, ya nini kujitesa nafsi na maisha yenyewe ni haya haya?


mnhhhhh
 
Sioni kwa nini uulizwe suala na mume/mke wako ukatae kujibu, hata kama unaona ni la kipuuzi.


Muulizaji kaona la msingi ndo maana akauliza, kwa hiyo mridhishe kwa kujibu lolote alitakalo.

Besides, 'wivu sunnah'

'wivu sunnah'
wafundishe hawa aisee
 
Ndio wale wale ambao wanaona mkewe ni kitu unachokimiliki na kwamba chenyewe hakina mawazo, wala mahitaji ambayo yaweza kuwa tofauti na yako kabisa!

Miwivu tu, lione kwanza ndio maana uko insecure na hujiamini!


yaani wewe....
 
Asiee The Boss.. yaani mimi uzungu kwenye ndoa yangu hamna aisee... nimekuoa lazima unipe jibu la swali ninalokuuliza.. tena kwa kunyoosha maneno... hawa watu ukijifanyau naeka uzungu utaua kichaa ati.

Na wewe ukiulizwa au mkeo akitaka majibu toka kwako unampa?
 

Hasante Kaunga, mwanzo nilikua sijakuelewa hapo kwenye rangi. Ni kweli kabisa hutakiwi usubiri maswali.
 

Oooho! sasa nimeelewa (hapo kwa red), nilikuwa najisemea mwenyewe 'huyu mbona tofauti na kaunga ninayemfahamu?'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…