Ni mazuri ila yanaharibu mipango ya clubs za soka (kwa mtazamo wangu), kwa sababu kwanza wachezaji wanakuwa hawatulii wanasafiri safiri sana kutumikia timu 2 kwa wakati mmoja (taifa na club), pia wengi wanapata maheraha na wanakuwa mzigo kwa clubs zao.
Ligi zilizokuwepo zilikuwa zinatosha sana.