Pre GE2025 Haya mashindano yaliyopewa jina la Samia Cup, Rais anayafahamu kweli? Tukisema CCM wameanza kampeni huwa mnakataa nini?

Pre GE2025 Haya mashindano yaliyopewa jina la Samia Cup, Rais anayafahamu kweli? Tukisema CCM wameanza kampeni huwa mnakataa nini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Hivi tukisema kwamba CCM wameanza kampeni kuelekea Uchaguzi mkuu nitakuwa nimekosea.

Naanza kuamini kuna watu ambao wanajifanyia tu vitu wakidhani wanamsaidia Rais lakini kumbe wanamharibia tu.

Sidhani kama Rais kutokana na majukumu mengi aliyokuwa nayo atakuwa na muda kupendekezo wazo kama hili let alone ku-fund na kutoa ufadhili

Kuna watu ambao wanataka wapate favors na attention ya mkuu wa nchi na ndio hu-organize mambo kama haya lakini wasichojua ni kwamba wanamharibia Rais

Haya mashindano yanayoitwa Samia Cup lengo lake ni nini? Tukisema kuna faction ndani ya CCM inafanya kampeni kabla ya muda huwa mnakata nini?


photo_2025-02-15_14-38-57.jpg
 
Wakuu,

Hivi tukisema kwamba CCM wameanza kampeni kuelekea Uchaguzi mkuu nitakuwa nimekosea.

Naanza kuamini kuna watu ambao wanajifanyia tu vitu wakidhani wanamsaidia Rais lakini kumbe wanamharibia tu.

Sidhani kama Rais kutokana na majukumu mengi aliyokuwa nayo atakuwa na muda kupendekezo wazo kama hili let alone ku-fund na kutoa ufadhili

Kuna watu ambao wanataka wapate favors na attention ya mkuu wa nchi na ndio hu-organize mambo kama haya lakini wasichojua ni kwamba wanamharibia Rais

Haya mashindano yanayoitwa Samia Cup lengo lake ni nini? Tukisema kuna faction ndani ya CCM inafanya kampeni kabla ya muda huwa mnakata nini?



TAKUKURU wako wapi?
 
Wakuu,

Hivi tukisema kwamba CCM wameanza kampeni kuelekea Uchaguzi mkuu nitakuwa nimekosea.

Naanza kuamini kuna watu ambao wanajifanyia tu vitu wakidhani wanamsaidia Rais lakini kumbe wanamharibia tu.

Sidhani kama Rais kutokana na majukumu mengi aliyokuwa nayo atakuwa na muda kupendekezo wazo kama hili let alone ku-fund na kutoa ufadhili

Kuna watu ambao wanataka wapate favors na attention ya mkuu wa nchi na ndio hu-organize mambo kama haya lakini wasichojua ni kwamba wanamharibia Rais

Haya mashindano yanayoitwa Samia Cup lengo lake ni nini? Tukisema kuna faction ndani ya CCM inafanya kampeni kabla ya muda huwa mnakata nini?


Mkuu kwan na wewe c unachochama basi anzisheni mashindano yenu na mlipe jina tofauti tuone kma itakuwa kampeni kma ulivyouliza hapo
 
Back
Top Bottom