Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,143
huoni mzigo kutembea na masimu mawilimawili?hata niwe na smart ngap pembeni lazma niwe na kijinokia changu safi kbsa, miaka mia siwez kosa nokia
Hahaha hutaona upande wa pili...Tunatumia kwa Bluetooth, yaani umeishika mkononi huku umevaa kidude kidogo sikioni...sasa km ww unapokea simu na kuliweka li iPad lizima lizima sikioni angalia usije gongwa na gari maana obviously hutaona upande wa pili, na pia utaonekana mshamba mno.
ha hahaaNaona wewe ndio yanakupa tabu japo sio mmiliki wake 😀😀😀
ha hahaaHahaha hutaona upande wa pili...
Kwahiyo ana tablet kubwa kama sinia
sema tu ukweli ulimkuta nayo chadulu mabasi mawili mkuuDemiss ile ya kwako nilikukuta nayo area D vip bado upo nayo
Siyo chadulu Maili mbili sokoni hahahahasema tu ukweli ulimkuta nayo chadulu mabasi mawili mkuu
Hahahahahahaaaa daahSiyo chadulu Maili mbili sokoni hahahaha