Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Siyo chadulu Maili mbili sokoni hahahaha
Ulinifananisha mm mtoto wa uswazi Maili mbiliMbona unaonekanaga uchamwinoni a.k.a Chamwino
Mbn wachekaHahahahahahaaaa daah
Duh!, kumbe mzee unapajua Basi Mbili?!, mitaa ile kuna supu za ajabuajabu, nyeusiiii!, ila mi' nakwenda nazo sawa.sema tu ukweli ulimkuta nayo chadulu mabasi mawili mkuu
Hahahaaa pande zangu sana zile,supu,kande hadi mapupuDuh!, kumbe mzee unapajua Basi Mbili?!, mitaa ile kuna supu za ajabuajabu, nyeusiiii!, ila mi' nakwenda nazo sawa.
Kuna supu mpaka za sh. 200, miksa makwarukwaru, kila mtu na bakuli lake kwenye kona yake, haina kuangaliana usoni hiyo.Hahahaaa pande zangu sana zile,supu,kande hadi mapupu
Supu gani 200 mkuu? Angalia isijekuwa supu ya kunguru ,au ile ya Iringa(dog)[emoji3] [emoji3]Kuna supu mpaka za sh. 200, miksa makwarukwaru, kila mtu na bakuli lake kwenye kona yake, haina kuangaliana usoni hiyo.
hahahah daah hapo ndo nnapopapendea,yaani hadi ukiwa na 200 unapata msosi!supu yako ya 300 miksa mabagiabagia yale saafi.Kuna supu mpaka za sh. 200, miksa makwarukwaru, kila mtu na bakuli lake kwenye kona yake, haina kuangaliana usoni hiyo.
Wikiendi nafungaga mtaa Basi Mbili nzima, nanunua zangu viazi vitamu vya kukaanga arobaini, au hata hamsini, nikila asubuhi sili mpaka kesho yake.hahahah daah hapo ndo nnapopapendea,yaani hadi ukiwa na 200 unapata msosi!supu yako ya 300 miksa mabagiabagia yale saafi.
Siye hatujui hiyo, iwe ya kunguru, iwe ya dog, kimpango wao, ili mradi iwe ya bei rahisi twende kazi.Supu gani 200 mkuu? Angalia isijekuwa supu ya kunguru ,au ile ya Iringa(dog)[emoji3] [emoji3]
Hahahahaaa viazi 40?Wikiendi nafungaga mtaa Basi Mbili nzima, nanunua zangu viazi vitamu vya kukaanga arobaini, au hata hamsini, nikila asubuhi sili mpaka kesho yake.
kuna kitu nilikishangaa Dodoma,kuna mama ntilie wapo nyuma ya msikiti wa Gadafi kule,saiv pana foleni utafikiri wanasubiri usafiri wa mwendokasi,kisa panauzwa chai chapati na maharage ya kuchemshwa,nilishangaa sana kuona yale mafuriko ya watu,hadi leo naamini pale wanatumia dawa,binafsi siwezi kwenda kukaa foleni nasubiri chapati maharage,niliamua kumkacha mwenyeji wangu aisee!hahahah daah hapo ndo nnapopapendea,yaani hadi ukiwa na 200 unapata msosi!supu yako ya 300 miksa mabagiabagia yale saafi.
Mapupu kwetu maili mbili mpaka supu ya mia ipoHahahaaa pande zangu sana zile,supu,kande hadi mapupu