Haya matukio yalinifanya niamini uchawi upo

Chai.
 
Huyu mzee alikuwa anaishi mshindo kama sikosei. Alikuwa noma sana.

PIA kuna lile tukio lilitokea kwenye daladala inaenda mafinga mitaa ya ifunda, kijiti kutoka mfukoni kwa mzee akitoa nauli ile kuanguka chini kile kijiti kikabadilika na kuwa mtoto wake alijifiaga muda sana.
 
Kwan umeambiwa uchawi ni tiba
Hupo = upo. Hii ni chai kama chai nyingine.
Km una watoto wafiche sana watoto wako wasionekane onekane ovyo ovyo, ninakwambia kwa ushahidi

Watoto hasa hasa Watoto wenye potential Watoto wanaopendwa sana Watoto wenye uwezo wanaanza kusumbuliwa wakiwa wadogo kabisa yaan ingali bado mtoto Wanga wanaanza kumsumbua Vita yake sio ndogo wanarogwa kishenzi
 
Kutokuwepo tu au kuwa miongoni mwa wahusika wa tukio basi hyo ni stori tu ya kusadikika, Uchawi haupo ni ujinga tu ndomana hakuna maendeleo , Yani mtu anaamini viungo vya albino vitamtajirisha upuuzi tu , eti uchawi utakufanya ushinde mechi ña hatuoni timu inayoshinda Kila mechi
 
Uchawi upo Wewe kujamba tu Hewa ukaa na kutoa Hewa chafu ni uchawi tosha Kula matikiti na kwenda kunya Mavi magumu ni uchawi tosha Babu tulia unavuta Hewa safi unatoa Hewa chafu huo ni uchawi tosha unakunywa maji yenye radha tamu unakojoa mkojo mchungu km kororokwini ni uchawi tosha
 
Atakuwa ndiyo huyo mkuu
 
Naam.Ni barabara ya Uhuru karibu sana na Highland G.House kama sijakosea.
 
Hizi stories za uchawi ni maneno matupu tu ,hakuna cha uchawi ni hadithi za vijiweni tu.
 
Mimesoma tu tukio la kwanza na kugungua ama wewe ni mtoto under 18 au mjinga fulani? Wewe tangu lini uongo wako ukazidi uongo wa polisi? Yaani uwasingizie polisi uongo? Pili! Uo mchakato wa mashitaka ya polisi ambayo ndo serikali yenyewe ndo ulipwe fasta hivyo? Acho uongo kijana!
 
Ok
 
Kama unafikiri pilisi anajua urongo nenda TANGA.
Yuko polisi mmoja aliyekua anajifanya mjuaji Sana. Kuna siku alipangwa kulinda benki usiku. Sasa kufika mida ya swala swala akapitiwa na kajiusingizi kadogo tu. Ile anastuka anajikuta Yuko uchi wa mnyama lakini bunduki yake anayo Ila nguo hazipo.
Basialitumia advantage ya lile Giza la asubuhi kwenda kwake fasta, alipofika nyumbani nguo zake za kazi alizikuta pale pale zinapokaaga.
Yule mujuba hakutaka mengi, aliomba uhamisho kwa nguvu zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…