Haya mavazi jamani tuyachukulie tahadhari kwani yanatuharibu!

Haya mavazi jamani tuyachukulie tahadhari kwani yanatuharibu!

JATELO1

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2011
Posts
1,230
Reaction score
301
WANA JF;
Kati ya vitu vinavyochangia pia uume kuwa mdogo ni kukosekana/upungufu wa mtiririko mzuri wa damu kwenye UUME. Na hii inachangiwa sana na mavazi tunayovaa sisi wanaume. Hasa chupi zetu zikiwa zimebana sana uume wetu na hivyo kusababisha damu kupita kwa shida kwenye mishipa ya Uume. Hili ni taztizo kubwa sana; ndiyo maana wataalamu wanashauri kwamba, ni vizuri wanaume tujaribu kuvaa nguo zinazoruhusu damu kupita kwenye uume bila shida na hata wkt mwingine tukiwa majumbani basi hakuna haja ya kuvaa chupi. Inashauriwa kwamba ni vizuri uvae nguo itakayokupa hewa safi na nafasi sehemu zile. Kwa Waislamu Wanaume wanapenda kuvaa lile vazi kama Khanga/kitenge (nimesahau jina mtanisamehe-mnisaidie jina la hilo vazi) na hili vazi ni zuri sana kwa ajili ya kuboresha UUME wetu, kwani inaruhusu Damu kupita kirahisi na hata hewa kupita hizo sehema bila tatizo. Kuna watu ambao si Waislamu kama mimi lkn katika hili hata sisi tunavaa haya mavazi kwa ajili ya afya zetu. Ikishindikana unaweza kuvaa KITENGE, Unaogopa nini, si uko kwako na kama muda mwingi uko chumbani ni kwanini unahofu kupata upepo?
Pili, ni hatari sana kulala usiku huku umevaa mavazi mengi kama Chupi, mara Bukta juu, maana joto litakalozalishwa si njema kwa afya ya Uume wetu.Hivyo, Wanaume wanashauriwa kulala huku chini pako free ili kitu kijinafasi. Na ktk hili uwe umeoa au uko single poa tu.
Jamani, Joto linalozalishwa na haya mavazi yanachangia sana kuharibu size za Uume wetu, na hivyo ni vizuri tuchukue tahadhari.

Hata Wakina Dada/Mama ambao nao hupenda kuvaa Blauzia zinazowabana sana nazo ni hatari, kwani tafiti zinaonyesha kwamba hili nalo inachangia kwa kiasi fulani matatizo ya Cancer ya Matiti. Hivyo, wanashauriwa wakina mama/dada kwamba, Nyakati za Usiku mnapolala ni vizuri walele bila Blauzia.
Nawasilisha.

Source: Masomo mbalimbali yanayohusu mambo ya kiafya.
 
WANA JF;
Kati ya vitu vinavyochangia pia uume kuwa mdogo ni kukosekana/upungufu wa mtiririko mzuri wa damu kwenye UUME. Na hii inachangiwa sana na mavazi tunayovaa sisi wanaume. Hasa chupi zetu zikiwa zimebana sana uume wetu na hivyo kusababisha damu kupita kwa shida kwenye mishipa ya Uume. Hili ni taztizo kubwa sana; ndiyo maana wataalamu wanashauri kwamba, ni vizuri wanaume tujaribu kuvaa nguo zinazoruhusu damu kupita kwenye uume bila shida na hata wkt mwingine tukiwa majumbani basi hakuna haja ya kuvaa chupi. Inashauriwa kwamba ni vizuri uvae nguo itakayokupa hewa safi na nafasi sehemu zile. Kwa Waislamu Wanaume wanapenda kuvaa lile vazi kama Khanga/kitenge (nimesahau jina mtanisamehe-mnisaidie jina la hilo vazi) na hili vazi ni zuri sana kwa ajili ya kuboresha UUME wetu, kwani inaruhusu Damu kupita kirahisi na hata hewa kupita hizo sehema bila tatizo. Kuna watu ambao si Waislamu kama mimi lkn katika hili hata sisi tunavaa haya mavazi kwa ajili ya afya zetu. Ikishindikana unaweza kuvaa KITENGE, Unaogopa nini, si uko kwako na kama muda mwingi uko chumbani ni kwanini unahofu kupata upepo?
Pili, ni hatari sana kulala usiku huku umevaa mavazi mengi kama Chupi, mara Bukta juu, maana joto litakalozalishwa si njema kwa afya ya Uume wetu.Hivyo, Wanaume wanashauriwa kulala huku chini pako free ili kitu kijinafasi. Na ktk hili uwe umeoa au uko single poa tu.
Jamani, Joto linalozalishwa na haya mavazi yanachangia sana kuharibu size za Uume wetu, na hivyo ni vizuri tuchukue tahadhari.

Hata Wakina Dada/Mama ambao nao hupenda kuvaa Blauzia zinazowabana sana nazo ni hatari, kwani tafiti zinaonyesha kwamba hili nalo inachangia kwa kiasi fulani matatizo ya Cancer ya Matiti. Hivyo, wanashauriwa wakina mama/dada kwamba, Nyakati za Usiku mnapolala ni vizuri walele bila Blauzia.
Nawasilisha.

Source: Masomo mbalimbali yanayohusu mambo ya kiafya.

Nadhani wanaume wenzio wamekusikia.Watazingatia hasa humo ulimoweka msisitizo
 
ukalale makambako uchi na baridi yake weeeeeeee...mimi thithemii
 
what's this thing called uume mdogo, I think if you think sex satisfaction is a function of size of the penis then absolutely you are nothing short of a sex sadist!

No matter what a size of a vagina is all what matters is maufundi yako ktk kumtosheleza mpenzi wako
 
what's this thing called uume mdogo, I think if you think sex satisfaction is a function of size of the penis then absolutely you are nothing short of a sex sadist!

No matter what a size of a vagina is all what matters is maufundi yako ktk kumtosheleza mpenzi wako

Ndugu yangu Lasikoki,
Kuna mashimo mengine hata ufanye ufundi kiasi gani utachemsha tu.
 
WANA JF;
Kati ya vitu vinavyochangia pia uume kuwa mdogo ni kukosekana/upungufu wa mtiririko mzuri wa damu kwenye UUME. Na hii inachangiwa sana na mavazi tunayovaa sisi wanaume. Hasa chupi zetu zikiwa zimebana sana uume wetu na hivyo kusababisha damu kupita kwa shida kwenye mishipa ya Uume. Hili ni taztizo kubwa sana; ndiyo maana wataalamu wanashauri kwamba, ni vizuri wanaume tujaribu kuvaa nguo zinazoruhusu damu kupita kwenye uume bila shida na hata wkt mwingine tukiwa majumbani basi hakuna haja ya kuvaa chupi. Inashauriwa kwamba ni vizuri uvae nguo itakayokupa hewa safi na nafasi sehemu zile. Kwa Waislamu Wanaume wanapenda kuvaa lile vazi kama (Khanga/kitenge ) shuka au Msuli (nimesahau jina mtanisamehe-mnisaidie jina la hilo vazi) na hili vazi ni zuri sana kwa ajili ya kuboresha UUME wetu, kwani inaruhusu Damu kupita kirahisi na hata hewa kupita hizo sehema bila tatizo. Kuna watu ambao si Waislamu kama mimi lkn katika hili hata sisi tunavaa haya mavazi kwa ajili ya afya zetu. Ikishindikana unaweza kuvaa KITENGE, Unaogopa nini, si uko kwako na kama muda mwingi uko chumbani ni kwanini unahofu kupata upepo?
Pili, ni hatari sana kulala usiku huku umevaa mavazi mengi kama Chupi, mara Bukta juu, maana joto litakalozalishwa si njema kwa afya ya Uume wetu.Hivyo, Wanaume wanashauriwa kulala huku chini pako free ili kitu kijinafasi. Na ktk hili uwe umeoa au uko single poa tu.
Jamani, Joto linalozalishwa na haya mavazi yanachangia sana kuharibu size za Uume wetu, na hivyo ni vizuri tuchukue tahadhari.

Hata Wakina Dada/Mama ambao nao hupenda kuvaa Blauzia zinazowabana sana nazo ni hatari, kwani tafiti zinaonyesha kwamba hili nalo inachangia kwa kiasi fulani matatizo ya Cancer ya Matiti. Hivyo, wanashauriwa wakina mama/dada kwamba, Nyakati za Usiku mnapolala ni vizuri walele bila Blauzia.
Nawasilisha.

Source: Masomo mbalimbali yanayohusu mambo ya kiafya.
Waislam hawavai (Kanga au kitenge ) Waislam wanavaa vazi la shuka au Msuli Mkuu
 
Kumbeeeeeeeeeee! Ndo maana huku umasaini oversize ni nyingi eeeeeee! Nshapata jibu kwani siku zote huwa nashangaa nnapokuwa kwa mikutano na wamasai mbona 'vitendea' kazi vyao ni oversize na viko wazi jamaa hawavai chupi, kitu kinapata hewa kwa raha zake.
 
tatizo la vazi lisilobana ni pale unapokuwa njiani na umechomekea halafu unapata mhemko aidha kwa fikra ama kwa kuona ama kujigusa na jinsia ya kike kwenye usafiri. Ni aibu
 
WANA JF;
Kati ya vitu vinavyochangia pia uume kuwa mdogo ni kukosekana/upungufu wa mtiririko mzuri wa damu kwenye UUME. Na hii inachangiwa sana na mavazi tunayovaa sisi wanaume. Hasa chupi zetu zikiwa zimebana sana uume wetu na hivyo kusababisha damu kupita kwa shida kwenye mishipa ya Uume. Hili ni taztizo kubwa sana; ndiyo maana wataalamu wanashauri kwamba, ni vizuri wanaume tujaribu kuvaa nguo zinazoruhusu damu kupita kwenye uume bila shida na hata wkt mwingine tukiwa majumbani basi hakuna haja ya kuvaa chupi. Inashauriwa kwamba ni vizuri uvae nguo itakayokupa hewa safi na nafasi sehemu zile. Kwa Waislamu Wanaume wanapenda kuvaa lile vazi kama Khanga/kitenge (nimesahau jina mtanisamehe-mnisaidie jina la hilo vazi) na hili vazi ni zuri sana kwa ajili ya kuboresha UUME wetu, kwani inaruhusu Damu kupita kirahisi na hata hewa kupita hizo sehema bila tatizo. Kuna watu ambao si Waislamu kama mimi lkn katika hili hata sisi tunavaa haya mavazi kwa ajili ya afya zetu. Ikishindikana unaweza kuvaa KITENGE, Unaogopa nini, si uko kwako na kama muda mwingi uko chumbani ni kwanini unahofu kupata upepo?
Pili, ni hatari sana kulala usiku huku umevaa mavazi mengi kama Chupi, mara Bukta juu, maana joto litakalozalishwa si njema kwa afya ya Uume wetu.Hivyo, Wanaume wanashauriwa kulala huku chini pako free ili kitu kijinafasi. Na ktk hili uwe umeoa au uko single poa tu.
Jamani, Joto linalozalishwa na haya mavazi yanachangia sana kuharibu size za Uume wetu, na hivyo ni vizuri tuchukue tahadhari.

Hata Wakina Dada/Mama ambao nao hupenda kuvaa Blauzia zinazowabana sana nazo ni hatari, kwani tafiti zinaonyesha kwamba hili nalo inachangia kwa kiasi fulani matatizo ya Cancer ya Matiti. Hivyo, wanashauriwa wakina mama/dada kwamba, Nyakati za Usiku mnapolala ni vizuri walele bila Blauzia.
Nawasilisha.

Source: Masomo mbalimbali yanayohusu mambo ya kiafya.

Ili nisiuite uzushi au mawazo yako yasiyo ya kusadikika naomba weka reference.

Ukishindwa basi huu ni upuuzi.
 
ahsante sana mkuu, ila kama anatomy inasema ukweli, basi kuwa na mshedede wa kutosha mama, ni lazima uwe na upana wa chupa ya safari:embarassed2::embarassed2:
 
Ili nisiuite uzushi au mawazo yako yasiyo ya kusadikika naomba weka reference.

Ukishindwa basi huu ni upuuzi.

mkuu hili swala siyo uzushi kabisa.

Uzalishaji wa mbegu(manii) kwa wingi hutegemeana na joto linalopatikana kiwandani.
Kama joto litakuwa jingi basi uzalishwaji wa manii huwa ovyo.Na manii huzalishwa kwa wing katika hali ya baridi.

Ndiyo mana kukiwa na joto sana pumbu(korodani) mfuko wake hulegea na kufanya pumbu ziwe free kutogusana na joto la mwili.
Na pindi kunapokuwa na barid sana pumbu husinyaa na kujibana ili ziweze pata joto la mwili.Hali hii hufanyika automatic kwani uzalishwaji mzuri wa mbegu ktk pumbu hutegemea joto maalumu likizidi au kupungua basi production ya sperms huwa duni ndiyo mana mwili hufanya kitendo hicho automatic.

Sasa nguo hizi za kubana huwazinafanya pumbu ziwe na joto mda wote.Na hapo ndipo wanaume wengi tujilogapo na kuhangaika kutafuta mchawi nani??
 
mkuu hili swala siyo uzushi kabisa.

Uzalishaji wa mbegu(manii) kwa wingi hutegemeana na joto linalopatikana kiwandani.
Kama joto litakuwa jingi basi uzalishwaji wa manii huwa ovyo.Na manii huzalishwa kwa wing katika hali ya baridi.

Ndiyo mana kukiwa na joto sana pumbu(korodani) mfuko wake hulegea na kufanya pumbu ziwe free kutogusana na joto la mwili.
Na pindi kunapokuwa na barid sana pumbu husinyaa na kujibana ili ziweze pata joto la mwili.Hali hii hufanyika automatic kwani uzalishwaji mzuri wa mbegu ktk pumbu hutegemea joto maalumu likizidi au kupungua basi production ya sperms huwa duni ndiyo mana mwili hufanya kitendo hicho automatic.

Sasa nguo hizi za kubana huwazinafanya pumbu ziwe na joto mda wote.Na hapo ndipo wanaume wengi tujilogapo na kuhangaika kutafuta mchawi nani??

Mkuu, umejaribu kuja kumtetea RDI lakini mbona unashindwa mapema kabisa? Rudia kumsoma vizuri, kile alichoandika kuhusu wanaume na kile alichoandika kuhusu wanawake. Halafu linganisha na ukweli wa kisayansi. Kizuri zaidi kasema chanzo chake ni "Masomo mbalimbali yanayohusu mambo ya kiafya."

Sasa kuna tabu gani kuweka reference? Msaidie basi hata wewe kuweka reference ili tujadili kwa uzuri zaidi.
 
Nimejaribu kuwatafutia hiyo link, ingia usome mwenyewe. Point mojawapo wameandika "Tight Clothing: Men's briefs and tight pants have been thought to have the same effect on sperm as heat exposure and hot baths, however there is no scientific evidence for this hypothesis" ....

http://www.epigee.org/health/infertility.html
 
Back
Top Bottom