KERO Haya mazingira ya Vyoo vya eneo la Kivuko pale Busisi ni hatari sana kwa afya

KERO Haya mazingira ya Vyoo vya eneo la Kivuko pale Busisi ni hatari sana kwa afya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Nimejiuliza sana kuhusu mazingira ya hivi vyoo, hata kama ndio tunatumia watu wengi, ndio washindwe kuweka mazingira vizuri kwa kiwango hiki?

Jionee mwenyewe, vyoo “vimekomaa na uchafu” humu ukiingia unatoka na magonjwam ukiponapona sana umepata UTI sugu.

Vyoo hivi vinamilikiwa na Halmashauri ya Wilaya Mkoani Mwanza, natoa wito mamaka husika, mboreshe huduma ya vyoo kwenye eneo la Kivuko cha Kigongo-Busisi hali ya uchafu nim baya.

Kinachokera zaidi huduma ya eneo hilo inalipiwa lakini wahusika sijui wanachukua fedha hizo na kupeleka nyumbani kwao?

Kinachosikitisha zaidi ni kuwa nje ya Vyoo hivyo kuna watu wanauza vyakula hasa wale wa kutembeza na baadhi yao wanaingia pia kujisaidia kwenye vyoo hivyo, tutapona kweli hapa na magonjwa ya Tumbo ikiwemo kipindupindu?
WhatsApp Image 2024-10-12 at 17.13.18_29b6f582.jpg

WhatsApp Image 2024-10-12 at 17.13.13_39321941.jpg

WhatsApp Image 2024-10-12 at 17.13.14_af8a6872.jpg

WhatsApp Image 2024-10-12 at 17.15.00_4390d8a6.jpg

WhatsApp Image 2024-10-12 at 17.13.16_747718a6.jpg

WhatsApp Image 2024-10-12 at 17.13.17_33abb349.jpg
 
Nimejiuliza sana kuhusu mazingira ya hivi vyoo, hata kama ndio tunatumia watu wengi, ndio washindwe kuweka mazingira vizuri kwa kiwango hiki?

Jionee mwenyewe, vyoo “vimekomaa na uchafu” humu ukiingia unatoka na magonjwam ukiponapona sana umepata UTI sugu.

Vyoo hivi vinamilikiwa na Halmashauri ya Wilaya Mkoani Mwanza, natoa wito mamaka husika, mboreshe huduma ya vyoo kwenye eneo la Kivuko cha Kigongo-Busisi hali ya uchafu nim baya.

Kinachokera zaidi huduma ya eneo hilo inalipiwa lakini wahusika sijui wanachukua fedha hizo na kupeleka nyumbani kwao?

Kinachosikitisha zaidi ni kuwa nje ya Vyoo hivyo kuna watu wanauza vyakula hasa wale wa kutembeza na baadhi yao wanaingia pia kujisaidia kwenye vyoo hivyo, tutapona kweli hapa na magonjwa ya Tumbo ikiwemo kipindupindu?
Wange binafusisha kwote hata feri yenyewe huduma zao haziko sawa kuna uzembe fulani wakuchelewesha magari unafanywa makusudi.
 
Nimejiuliza sana kuhusu mazingira ya hivi vyoo, hata kama ndio tunatumia watu wengi, ndio washindwe kuweka mazingira vizuri kwa kiwango hiki?

Jionee mwenyewe, vyoo “vimekomaa na uchafu” humu ukiingia unatoka na magonjwam ukiponapona sana umepata UTI sugu.

Vyoo hivi vinamilikiwa na Halmashauri ya Wilaya Mkoani Mwanza, natoa wito mamaka husika, mboreshe huduma ya vyoo kwenye eneo la Kivuko cha Kigongo-Busisi hali ya uchafu nim baya.

Kinachokera zaidi huduma ya eneo hilo inalipiwa lakini wahusika sijui wanachukua fedha hizo na kupeleka nyumbani kwao?

Kinachosikitisha zaidi ni kuwa nje ya Vyoo hivyo kuna watu wanauza vyakula hasa wale wa kutembeza na baadhi yao wanaingia pia kujisaidia kwenye vyoo hivyo, tutapona kweli hapa na magonjwa ya Tumbo ikiwemo kipindupindu?
Daraja likamilike haraka tuepukane na kero hizi
 
Nimejiuliza sana kuhusu mazingira ya hivi vyoo, hata kama ndio tunatumia watu wengi, ndio washindwe kuweka mazingira vizuri kwa kiwango hiki?

Jionee mwenyewe, vyoo “vimekomaa na uchafu” humu ukiingia unatoka na magonjwam ukiponapona sana umepata UTI sugu.

Vyoo hivi vinamilikiwa na Halmashauri ya Wilaya Mkoani Mwanza, natoa wito mamaka husika, mboreshe huduma ya vyoo kwenye eneo la Kivuko cha Kigongo-Busisi hali ya uchafu nim baya.

Kinachokera zaidi huduma ya eneo hilo inalipiwa lakini wahusika sijui wanachukua fedha hizo na kupeleka nyumbani kwao?

Kinachosikitisha zaidi ni kuwa nje ya Vyoo hivyo kuna watu wanauza vyakula hasa wale wa kutembeza na baadhi yao wanaingia pia kujisaidia kwenye vyoo hivyo, tutapona kweli hapa na magonjwa ya Tumbo ikiwemo kipindupindu?
Taarifa hii itasaidia,, mamlaka husika kuchukua hatua za marekebisho.
 
Alafu afisa mazngira na bwana afya wanalipwa mishahara, huku majukumu yao hawatekelezi ipaswavyo
 
Habari zimewafikia nilidhani ni mimi peke yangu ndio nilikerwa na hii hali. Mbaya zaidi tunaenda kuwa na daraja bora kabisa la JPM muda sio mrefu. Mimi nadhani hizi huduma za public ni bora wawe wanapewa watu binafsi wasimamie halmashauri wao waregulate tu maana wanafail sana.
 
Watanzania pia sisi sio wastaarabu, Kutunza choo isiwe jukumu tu la watu flani kila mtumiaji anawajibika.
Watu hawana ustaarabu kabisa wa kutumia choo, mtu anakojoa tu kama mbuzi bila kumwaga maji anaondoka zake mwingine anaona sehemu ya kukojolea lakini anenda kwa makusudi kukojoa ukutani au pembeni, wengine wanatoa haja kubwa wanashindwa kuflash mizigo yao wanaacha sijuwi wanamwachia nani. Watanzania tubadilikeni jamani tutalalamikia mamlaka kila siku kama watu wajinga vile
 
Back
Top Bottom