freshet net
Senior Member
- Nov 3, 2014
- 153
- 169
Aiseeeh hiyo ndo ilikuwa raha zetu, enzi hizo home hakunw TV CHOGOKALI ZA KITAMBO
1.Anodi la Jenii
2. Prideta
3. Mniga analiwa na mamba
4. Komando kipensi
5. Rambo usongo
6. Maiko dudukofi Ninja
7. Sensia kani
8. Wabasi
9. Anodi la ujiuji
10. Chaki nolis
11. Saibogi
12. Van Dame kipupute
13. Stivin Siga
14. Boloyanki
15. TaiChi
16. Linolenzi
17. Mzee Ashanti
18. Temineta
19. Amita yayaaa
20. Jack cheni
21. Blusilii
22. No litriti no sarenda
23. Kuchi kuchi
24. Govinda
25. Shumsheti na Akshei
26. Misuni chakalaboti
27. Titanike
28. Yondo Sister
29. Aivoni chakachaka mukombochi
30. Laki Seven
31. Bebi alone
32. Amerika Ninja
33. Tazani
34. Rambo
35. Batman na supaman (popobawa)
36.
37.
Enzi za banda la tivii maliza sana hamsini zetu. Na kunyuti kwenda skuli
Aloo mods muwazuie panya road wasichukue uzi huu wa wazee vijana
duu ww kama mimi tu nimebeba tofali nikacheki movieHistiria ya kuangal muvi nimeanza unabeba tofali 100 unapew sh 100 unaangalia siku 2
Filamu hizi za watasha na wachinese(Hong Kong) aisee nilipata kuzitazama sana,Hahahaa sure, wale wajeshi waliokuwa wanakuja kwa wingi halafu komandoo anawamiminia risasi huku akipiga kelele hiyaaaaa hiyaaaaa kamoni kamoni ngi ngi ngi ngi ngi ! Sie tulikuwa tukiwaita WAROMBO
Mkuu umenikumbusha mbali hiyo phantom soldiers ilikuwa balaa,jamaa yanaua kisha yanapunga mikono hewani [emoji2]Filamu hizi za watasha na wachinese(Hong Kong) aisee nilipata kuzitazama sana,
Mfano movi likiisha mnatoka nje mkiwa na shangwe tele mukichora hewani mastyle ya karatee wakati Rafiki zako wakizingua unawachorea za mai faza izi hiro au sneki mankeyi shadow.
Inkridibo kungufu misheni bonge la movi enzi za akina Alexander Lou na Jonh -Lee(mguu mmoja hewani kama dakika tano).
Filamu za kihindi za Mituni na mbabe wa india Sanny Deo,Amita ,Amri Khan,zlilinibamba sana.Sasa miaka ya nyuma kidogo sinikataka tunda la toto la kihindi kwa mtaa wa- wahindi ghafla kaka wakaniijia juu kama moto wa kifuu na mikwaraa kibao,nikawaambia nyinyi mbona mnatafuna dadazetu mambo yanakuwa poa tu,kwetu sisi mbona inakuwa nongwa...??
Kidume nikasema hamnitishi na mikawara yenu ya mbuzi hapa jino kwa jino, jicho kwa jicho kama vita ya ukomonosti na ubepari.
Naashukuru filamu hizi za utotoni zimenisaidia kwa kiasi flani kuwa na vinasaba vya udadisi wa mambo mbali mbali ulimwenguni.
No ritriti no sarrenda 2,Kubwa la maadui lilikuwa na nguvu za ajabu jamaa lina vuta gari na bwawa kubwa la Mamba(mifugo).
Phantom-Vietnam,
Napigana na maadui mbona hawaaishi ooohh kumbe wavietnam.
Hatari sana.Mkuu umenikumbusha mbali hiyo phantom soldiers ilikuwa balaa,jamaa yanaua kisha yanapunga mikono hewani [emoji2]
Ila Hollywood zamani walikuwa wanatoa action kali sana siku hizi hizo sci-fi zimezidi kiasi ladha imeondoka kama sio kubaki kidogo,uhalisia haupo kiviile.Hatari sana.
Wanavamia kijiji na kuteketeza chote kisha wanaweka Fuvu la binadamu kama alama yao kwamba vidume vya mbegu vimepita mahali hapa.
Risasi hazipenyi mavazi yao.
KALI ZA KITAMBO
1.Anodi la Jenii
2. Prideta
3. Mniga analiwa na mamba
4. Komando kipensi
5. Rambo usongo
6. Maiko dudukofi Ninja
7. Sensia kani
8. Wabasi
9. Anodi la ujiuji
10. Chaki nolis
11. Saibogi
12. Van Dame kipupute
13. Stivin Siga
14. Boloyanki
15. TaiChi
16. Linolenzi
17. Mzee Ashanti
18. Temineta
19. Amita yayaaa
20. Jack cheni
21. Blusilii
22. No litriti no sarenda
23. Kuchi kuchi
24. Govinda
25. Shumsheti na Akshei
26. Misuni chakalaboti
27. Titanike
28. Yondo Sister
29. Aivoni chakachaka mukombochi
30. Laki Seven
31. Bebi alone
32. Amerika Ninja
33. Tazani
34. Rambo
35. Batman na supaman (popobawa)
36.
37.
Enzi za banda la tivii maliza sana hamsini zetu. Na kunyuti kwenda skuli
Aloo mods muwazuie panya road wasichukue uzi huu wa wazee vijana
Hapo kama bi mkubwa ndo alikutuma lazima ulikula stiki uliporudi home.Enzi za hizi makitu nilitumia fursa sana.... nlikua nazama na deli langu la aisikirimu... nikitoka nna buku2 za enzi hizo..... mambo yakaanza kunichachia nlivoanza twisheni wakat nimeingia la saba.... dah...
Sitasahau siku nimeingia jamaa wakanipa sijui ilikua hela ya wapi ile walah(si unajua mule ndani giza)...... wakchkua ashkilimu kumi........
Any ways, saiv huwa nainjoy kuchek muvi peke yangu, hasa nyakat za usiku.
Ndio ndio Mkuu,Ila Hollywood zamani walikuwa wanatoa action kali sana siku hizi hizo sci-fi zimezidi kiasi ladha imeondoka kama sio kubaki kidogo,uhalisia haupo kiviile.
Hapo kama bi mkubwa ndo alikutuma lazima ulikula stiki uliporudi home.
I have watched all...ila hivyo ya yaya sio Amita ni Govinda yaya adui RanjitKALI ZA KITAMBO
1.Anodi la Jenii
2. Prideta
3. Mniga analiwa na mamba
4. Komando kipensi
5. Rambo usongo
6. Maiko dudukofi Ninja
7. Sensia kani
8. Wabasi
9. Anodi la ujiuji
10. Chaki nolis
11. Saibogi
12. Van Dame kipupute
13. Stivin Siga
14. Boloyanki
15. TaiChi
16. Linolenzi
17. Mzee Ashanti
18. Temineta
19. Amita yayaaa
20. Jack cheni
21. Blusilii
22. No litriti no sarenda
23. Kuchi kuchi
24. Govinda
25. Shumsheti na Akshei
26. Misuni chakalaboti
27. Titanike
28. Yondo Sister
29. Aivoni chakachaka mukombochi
30. Laki Seven
31. Bebi alone
32. Amerika Ninja
33. Tazani
34. Rambo
35. Batman na supaman (popobawa)
36.
37.
Enzi za banda la tivii maliza sana hamsini zetu. Na kunyuti kwenda skuli
Aloo mods muwazuie panya road wasichukue uzi huu wa wazee vijana