Haya mnaojifanya ni Wafalme wa Lugha ya Malkia Afrika mashariki, Motokeo hayo hapo

Haya mnaojifanya ni Wafalme wa Lugha ya Malkia Afrika mashariki, Motokeo hayo hapo

Carica_papaya

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2018
Posts
767
Reaction score
1,272
Screenshot_20211127-160134_Facebook.jpg
haya mnaojifanya ni Wafalme wa Lugha ya Malkia Afrika mashariki, Matokeo hayo hapo
 
Kwahiyo Bongo hatupo?
Hapa swala hili lilijadiliwe bungeni
 
View attachment 2025567haya mnaojifanya ni Wafalme wa Lugha ya Malkia Afrika mashariki, Motokeo hayo hapo
Ni vizuri kujifunza lugha ngeni kwani husaidia mambo mengi. Ila lugha bila kukuza technolojia na uchumi haina msaada mkubwa. Ukiangalia nchi zinazozumngumza Kiingereza kizuri kama Kenya, Uganda , Zambia etc ndipo mchina alipojiwekea mikataba yake ya kinyonyaji pamoja na kuwa yeye Kiingereza chake ni cha kuunga unga.
 
Back
Top Bottom