Ni vizuri kujifunza lugha ngeni kwani husaidia mambo mengi. Ila lugha bila kukuza technolojia na uchumi haina msaada mkubwa. Ukiangalia nchi zinazozumngumza Kiingereza kizuri kama Kenya, Uganda , Zambia etc ndipo mchina alipojiwekea mikataba yake ya kinyonyaji pamoja na kuwa yeye Kiingereza chake ni cha kuunga unga.
Kizungu cha kenya hakina faida yoyote maana wanakitumia kwa kusujudia wazungu tu, bora wangetupatia sisi watz hicho kizungu chao tukitumie kuangalizia muvi za session Tony254komora096