Haya muangalieni shemeji yenu huyoo

Ustaadh mbona unaleta kalimati usiku huu ?? Tukueleweje?
 
Pua ka donge la Sabuni..............

Ila Mtindi na Wowowo, mhhhhhhhhhhhhh

Ila kwa sisi Wanyamwezi, hawa hapa chini wanatufaa zaidi kwa CHAGULAGA.....
 
Hallow guys,jifunzeni kustadi picha,,,lengo hapa ilikuwa ni kuonyesha jinsi ngozi ilivyokuwa ikivutwa tangu udogo wake na sasa imerefuka na kujisokota kuwakama rasta..But nyinyi mme comment viti vingine kabisaaaa:nono:
 
Mtoto dodo hilooo !!!! kiuno mweeeee !! lips za kuperform swaaaaaaa !!!!!

Mzizimkavu namkubali shemeji yangu ****
 
Huyo mutoto kwa mimi Binafsi ni murembo kwa black beauty mwah
 
Unafyonza dodo traaaaaaaaaaaatibu..!
 
Hallow guys,jifunzeni kustadi picha,,,lengo hapa ilikuwa ni kuonyesha jinsi ngozi ilivyokuwa ikivutwa tangu udogo wake na sasa imerefuka na kujisokota kuwakama rasta..But nyinyi mme comment viti vingine kabisaaaa:nono:

hebu nenda kacheze na wenzako huko na wewe
 
Huwezi pata hiyo kitu adimu muji muzim huu. Come on, That is cute man
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…