ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Ikiwa leo tu rais wa Sudan Al Bashir ameondoka kirahisi Nchini Afrika ya Kusini baada ya kutobanwa na uongozi wa Serikali ya Nchi hiyo kinyume na amri ya ICC kuwa kiongozi huyo asitoke huko.
Saa hii BBC wanatangaza kauli ya Museveni Rais wa Uganda aliyeko madarakani kwa zaidi ya miaka 27 awaambia waganda angependa kura zao ifikapo mwaka 2016 katika uchaguzi mkuu.
Tayari mpinzani mkuu ameshatoa tamko kupinga uamuzi huo na tayari jeshi la polisi Uganda limeonya kuwepo kwa maandamano yeyote toka kwa upinzani kama fununu zinavyojieleza wao watapambana nao.
Hii ndiyo Afrika yetu na Ikulu zetu tamu nina wasiwasi wazungu watakuja tutenga baada ya muda kidogo, Mfano hai ni shida iliyopo Burundi na Nkurunziza kashindwa pewa ukweli wake na viongozi wetu afrika mashariki.
Pili ilisemekana na kagame nae atapenda kuendelea kuwepo kwenye kiti,rais wa Kongo DRC Kabila nae yupo tu kwenye kiti ingawa ameshapingwa sana atoke pale lakini wapi.
Ukienda kwa mzee wetu Mugabe yaleyale, Au wanashutumu ICC kua inaonea viongozi wa kiafrika je kwa picha ilivyo kwa viongozi wetu ni kweli wanaonewa?
Saa hii BBC wanatangaza kauli ya Museveni Rais wa Uganda aliyeko madarakani kwa zaidi ya miaka 27 awaambia waganda angependa kura zao ifikapo mwaka 2016 katika uchaguzi mkuu.
Tayari mpinzani mkuu ameshatoa tamko kupinga uamuzi huo na tayari jeshi la polisi Uganda limeonya kuwepo kwa maandamano yeyote toka kwa upinzani kama fununu zinavyojieleza wao watapambana nao.
Hii ndiyo Afrika yetu na Ikulu zetu tamu nina wasiwasi wazungu watakuja tutenga baada ya muda kidogo, Mfano hai ni shida iliyopo Burundi na Nkurunziza kashindwa pewa ukweli wake na viongozi wetu afrika mashariki.
Pili ilisemekana na kagame nae atapenda kuendelea kuwepo kwenye kiti,rais wa Kongo DRC Kabila nae yupo tu kwenye kiti ingawa ameshapingwa sana atoke pale lakini wapi.
Ukienda kwa mzee wetu Mugabe yaleyale, Au wanashutumu ICC kua inaonea viongozi wa kiafrika je kwa picha ilivyo kwa viongozi wetu ni kweli wanaonewa?