Haya Mvua ya El Nino imeshaanza Majaribio yake Mkoani Dar es Salaam hivyo tujiandae nayo

Haya Mvua ya El Nino imeshaanza Majaribio yake Mkoani Dar es Salaam hivyo tujiandae nayo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na kama Mtu ambaye nimejiandaa kuwa Mtetezi wa Serikali pale Mvua za El Nino zikianza ni Mimi GEBTAMYCINE.

Tokea Mwezi wa Tano ( May ) au wa Sita ( June ) Serikali kupitia Media mbalimbali kila Siku imekuwa ikitoa Tahadhari kwa Wananchi ( hasa wa Mabondeni Kuhama ) ila nasikitika kusema kuwa 95% yao wamekuwa na Viburi na hawajahama au hata tu basi kuchukua tahadhari ya Kuboresha Miundombinu ya maeneo yao husika.

Na kama kuna eneo ambalo GENTAMYCINE nalivizia Kuliangalia hasa Mafuriko ya Mvua za El Nino zikianza ni lile la Bondeni ( Shoko ) Kawe ambapo kuna Mchungaji Mmoja Tajiri wa Kisukuma Nyumba yako ni Pua na Mdomo na Mto Mbezi na Boya / Pimbi mwingine nae upande wa Pili Nyumba yake iliharibiwa vibaya na Mvua Kubwa ya miaka Mitano iliyopita kiasi cha hadi Kubomoka na cha Kushangaza badala ya Kuhama hapo kama alivyoshauriwa Yeye kaamua Kuikarabati upya na Kuishi japo Mwenyewe hukiri kuwa akiona tu Wingu limetanda Angani anakosa Usingizi kwakuwa anajua ikishuka tu Mvua ya maana yenye Mafuriko Ndugu zake wataenda Kumuokotea katikati ya Bahari ya Hindi akiwa na Boksa yake Kuu Kuu ya ADIDAS.
 
Na kama Mtu ambaye nimejiandaa kuwa Mtetezi wa Serikali pale Mvua za El Nino zikianza ni Mimi GEBTAMYCINE.

Tokea Mwezi wa Tano ( May ) au wa Sita ( June ) Serikali kupitia Media mbalimbali kila Siku imekuwa ikitoa Tahadhari kwa Wananchi ( hasa wa Mabondeni Kuhama ) ila nasikitika kusema kuwa 95% yao wamekuwa na Viburi na hawajahama au hata tu basi kuchukua tahadhari ya Kuboresha Miundombinu ya maeneo yao husika.

Na kama kuna eneo ambalo GENTAMYCINE nalivizia Kuliangalia hasa Mafuriko ya Mvua za El Nino zikianza ni lile la Bondeni ( Shoko ) Kawe ambapo kuna Mchungaji Mmoja Tajiri wa Kisukuma Nyumba yako ni Pua na Mdomo na Mto Mbezi na Boya / Pimbi mwingine nae upande wa Pili Nyumba yake iliharibiwa vibaya na Mvua Kubwa ya miaka Mitano iliyopita kiasi cha hadi Kubomoka na cha Kushangaza badala ya Kuhama hapo kama alivyoshauriwa Yeye kaamua Kuikarabati upya na Kuishi japo Mwenyewe hukiri kuwa akiona tu Wingu limetanda Angani anakosa Usingizi kwakuwa anajua ikishuka tu Mvua ya maana yenye Mafuriko Ndugu zake wataenda Kumuokotea katikati ya Bahari ya Hindi akiwa na Boksa yake Kuu Kuu ya ADIDAS.
Umejuaje mwanaume mwenzio ana boksa ya adidas?? Wewe ni punga?
 
Ni uwendawazimu kujenga kwenye matuamo ya maji huko mabondeni. Wazee wetu walijenga nyumba zao kwenye miinuko kukwepa maji
Sikia ndugu Mtanzania, unaweza nunua eneo halipo bondeni let say tambarare, but siku zinavyosonga binadamu wananunua site na kujenga huku serikali haiweki miundombinu mapema, so kila mtu hataki maji yakae kwake anayapa njia kuja kwako.

Na kwako pia unayafukuza kwa kumsogezea jirani yako, ndipo yakikuta eneo kaka langu hakuna kizuizi yanajaa hapo na kufanya makazi ndipo unasema mafuriko.

Eneo kama Dar pale msasani A hadi kwa Nyerere upande wa kulia lilikuwa shanba la mpunga, lkn maji yanaogopa kuishi pale sababu yanefukuzwa 😊!.

Huku kwetu ni vile tunachunguliana dirishani lazima tuseme ni bondeni.
 
Na kama Mtu ambaye nimejiandaa kuwa Mtetezi wa Serikali pale Mvua za El Nino zikianza ni Mimi GEBTAMYCINE.

Tokea Mwezi wa Tano ( May ) au wa Sita ( June ) Serikali kupitia Media mbalimbali kila Siku imekuwa ikitoa Tahadhari kwa Wananchi ( hasa wa Mabondeni Kuhama ) ila nasikitika kusema kuwa 95% yao wamekuwa na Viburi na hawajahama au hata tu basi kuchukua tahadhari ya Kuboresha Miundombinu ya maeneo yao husika.

Na kama kuna eneo ambalo GENTAMYCINE nalivizia Kuliangalia hasa Mafuriko ya Mvua za El Nino zikianza ni lile la Bondeni ( Shoko ) Kawe ambapo kuna Mchungaji Mmoja Tajiri wa Kisukuma Nyumba yako ni Pua na Mdomo na Mto Mbezi na Boya / Pimbi mwingine nae upande wa Pili Nyumba yake iliharibiwa vibaya na Mvua Kubwa ya miaka Mitano iliyopita kiasi cha hadi Kubomoka na cha Kushangaza badala ya Kuhama hapo kama alivyoshauriwa Yeye kaamua Kuikarabati upya na Kuishi japo Mwenyewe hukiri kuwa akiona tu Wingu limetanda Angani anakosa Usingizi kwakuwa anajua ikishuka tu Mvua ya maana yenye Mafuriko Ndugu zake wataenda Kumuokotea katikati ya Bahari ya Hindi akiwa na Boksa yake Kuu Kuu ya ADIDAS.
Vipi hapo kutoka shoko na kupitia pembezoni mwa mto paka kwa mzee juma wanahali gani wamejiandaaje?
 
Na kama Mtu ambaye nimejiandaa kuwa Mtetezi wa Serikali pale Mvua za El Nino zikianza ni Mimi GEBTAMYCINE.

Tokea Mwezi wa Tano ( May ) au wa Sita ( June ) Serikali kupitia Media mbalimbali kila Siku imekuwa ikitoa Tahadhari kwa Wananchi ( hasa wa Mabondeni Kuhama ) ila nasikitika kusema kuwa 95% yao wamekuwa na Viburi na hawajahama au hata tu basi kuchukua tahadhari ya Kuboresha Miundombinu ya maeneo yao husika.

Na kama kuna eneo ambalo GENTAMYCINE nalivizia Kuliangalia hasa Mafuriko ya Mvua za El Nino zikianza ni lile la Bondeni ( Shoko ) Kawe ambapo kuna Mchungaji Mmoja Tajiri wa Kisukuma Nyumba yako ni Pua na Mdomo na Mto Mbezi na Boya / Pimbi mwingine nae upande wa Pili Nyumba yake iliharibiwa vibaya na Mvua Kubwa ya miaka Mitano iliyopita kiasi cha hadi Kubomoka na cha Kushangaza badala ya Kuhama hapo kama alivyoshauriwa Yeye kaamua Kuikarabati upya na Kuishi japo Mwenyewe hukiri kuwa akiona tu Wingu limetanda Angani anakosa Usingizi kwakuwa anajua ikishuka tu Mvua ya maana yenye Mafuriko Ndugu zake wataenda Kumuokotea katikati ya Bahari ya Hindi akiwa na Boksa yake Kuu Kuu ya ADIDAS.
Hapo kwenye boxer ya Adidas😁😁😁
 
Vipi hapo kutoka shoko na kupitia pembezoni mwa mto paka kwa mzee juma wanahali gani wamejiandaaje?
Nina Demu kwa Mzee Juma na natamani Mvua ya Mafuriko ije ili Waathirike na ahamie maeneo ya Karibu kwani huwa ananiingiza mno Gharama ya Kukodi Bodaboda kuupanda ule Mlima Kuifuata Mbunye yake Tamu na Tukuka kabisa.
 
Back
Top Bottom