instagramer
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 215
- 492
Kama sikosei ni naijeria ila kila kilicholetwa na mkoloni kilikufa afrika
Nilijua Goms... Maana akili za watu wa Gongolamboto banaKama sikosei ni naijeria ila kila kilicholetwa na mkoloni kilikufa afrika
Watu wagongolamboto miti ya miembe imewadumaza sanaNilijua Goms... Maana akili za watu wa Gongolamboto bana
Akili zao kama gongo lenyewe lile la moto... Ndio maana wakaitwa GongolamotoWatu wagongolamboto miti ya miembe imewadumaza sana