Haya ndio afande alisema na leo anarudi kufanya kazi na hawajamaa

Haya ndio afande alisema na leo anarudi kufanya kazi na hawajamaa

huyu ni msaliti alichokisema hapa hakukionyesha kwa vitendo kwani alihudhuria shoo ya clauds
 
Huyu jamaa sikuhizi kawa chapombe sana alafu lile janikuu ndio kama vile anwasha embass,anakoelekea nikutoa masaburi angalau anunuliwe tu kilaji hata msela wake twente pa kamavile kampotezea flani ila basi atamtosaje kirahisi vile.sugu mpango mzima bwana
 
Njaa mbaya....vijana acheni bange na mapombe wakati hamna hela!!
 
Back
Top Bottom