Haya ndio maajabu ambayo yanapatikana Tanzania tu

Haya ndio maajabu ambayo yanapatikana Tanzania tu

BrownRange

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2020
Posts
927
Reaction score
1,191
Wakuu poleni na majukumu.
Kuna Mambo ambayo kwa uelewa wangu mdogo nimeshangaa yanatokea Tanzania tu, sijui kwa nchi zingine

1. Fine za barabarani
Bodoboda na bajaji ndio wanaoongoza kuvunja sheria, ila eti kwa vile ni vyombo vidogo, eti vilipunguziwa fine hadi elfu 10. Kwani tunaangalia ukubwa wa chombo au utendaji wa kosa

2. Tunajenga reli ya mwendokasi kupita Morogoro, halafu tunataka kujenga njia ya magari kwenda kasi Hadi Morogoro, hii sijaielewa Hadi Sasa

3. Kila bajeti mpya, asilimia kubwa ya vitu vinaongezwa Kodi, ili kuongeza mapato. Kwa hiyo mawazo yetu yapo kupandisha tu Kodi ili yaongezeke, kwani tusiwaze kuanzisha vyanzo vipya

Naumia sana

Kutoka

Changoko-Same
 
Hapo kwenye boda boda umesema kweli

Kwenye mwendo kasi mpka morogoro iyo tunapigwa
 
Wakuu poleni na majukumu.
Kuna Mambo ambayo kwa uelewa wangu mdogo nimeshangaa yanatokea Tanzania tu, sijui kwa nchi zingine

1. Fine za barabarani
Bodoboda na bajaji ndio wanaoongoza kuvunja sheria, ila eti kwa vile ni vyombo vidogo, eti vilipunguziwa fine hadi elfu 10. Kwani tunaangalia ukubwa wa chombo au utendaji wa kosa

2. Tunajenga reli ya mwendokasi kupita morogoro, halafu tunataka kujenga njia ya magari kwenda kasi Hadi morogoro, hii sijaielewa Hadi Sasa

3. Kila bajeti mpya, asilimia kubwa ya vitu vinaongezwa Kodi, ili kuongeza mapato. Kwa hiyo mawazo yetu yapo kupandisha tu Kodi ili yaongezeke, kwani tusiwaze kuanzisha vyanzo vipya

Naumia sana

Kutoka

Changoko-Same
Inavyoonekana ww ndio hujielewi. Bodaboda unalinganisha kipato chake na dereva wa daladala? Kwenye swala la treni ya kasi unataka kila mtu aipande wenye magari yao wafanyeje sasa. Kwenye bajeti huo ni ulaji wa watu hata ufanyeje usitarajie wataanzisha vyanzo vya mapato badala ya kupandiaha tozo wanajua hakuna la kufanya
 
Inavyoonekana ww ndio hujielewi. Bodaboda unalinganisha kipato chake na dereva wa daladala? Kwenye swala la treni ya kasi unataka kila mtu aipande wenye magari yao wafanyeje sasa. Kwenye bajeti huo ni ulaji wa watu hata ufanyeje usitarajie wataanzisha vyanzo vya mapato badala ya kupandiaha tozo wanajua hakuna la kufanya
Mkuu unaangalia ukubwa wa kipato, au tunaangalia kosa lililotendwq. Kwa hiyo mtu mzima akiua kwq makusudi, na kijana akiua kwa makusudi, mmoja adhabu kubwa, na mwingine anapewa adhabu ndogo. Au mmoja akiua na bunduki na mwingine akiua kwa kisu adhabu zinatifautiana.
 
Mkuu unaangalia ukubwa wa kipato, au tunaangalia kosa lililotendwq. Kwa hiyo mtu mzima akiua kwq makusudi, na kijana akiua kwa makusudi, mmoja adhabu kubwa, na mwingine anapewa adhabu ndogo. Au mmoja akiua na bunduki na mwingine akiua kwa kisu adhabu zinatifautiana.
Tofautisha makosa ya barabarani na jinai ushasem kuua yaani kutoa uhai ni kitu tofauti hata kusound maskioni tu kulingana na kosa la barabarani hebu kuwa na mtazamo wa maisha halisi ya mtanzania mwenye daladala au Hiace anaingiza zaidi ya bodaboda ukichukua 30k ya boda hapo unamsaidia au unazidi kumkandamiza na tuwe wakweli madereva wengi rushwa tunatoa hata kwa gari binafsi hakuna chombo kilichokamilika njiani lipo kosa tu sehemu mm nasemaga siku ya nyani kufa mti lazima ukusaliti ndivyo barabarani palivyo kwahyo makosa yanaweza yakawa sawa mfano kupita taa nyekundu unataka boda na gari wote watoe faini sawa kweli boda bajaji ni kuwandamiza tu ndio maana wakaona wawekewe 10k kwa kosa moja na bado wanapoozwa kinoma unakuta boda anamakosa kama yote chombo hakijakamilika yeye mwenyewe hajakamilika lakini askari wetu nao wana busara wanagawana njaa hivyo hivyo
 
Maisha ni siasa na wanasiasa ndio decision maker kwa kila kitu nchin kwetu mpaka leo tanzania asilimia kubwa ni maskini kwa sababu ya wanasiasa wenye uwezo mdogo wa kuongoza na kutunga sheria , wanasiasa wa tanzania wanapita kwa njia ya kukesha kwa waganga na kuhonga tume zinazosimamia uchaguzi ili atimize haja zake apige hela apite hivi mda wake ukiisha hana uchungu na nchi wala wananchi kwa sababu yeye alitumia pesa kufika pale anahitaji apate faida
 
Inavyoonekana ww ndio hujielewi. Bodaboda unalinganisha kipato chake na dereva wa daladala? Kwenye swala la treni ya kasi unataka kila mtu aipande wenye magari yao wafanyeje sasa. Kwenye bajeti huo ni ulaji wa watu hata ufanyeje usitarajie wataanzisha vyanzo vya mapato badala ya kupandiaha tozo wanajua hakuna la kufanya
Comment yako kuhusu boda boda aisee imeniacha mdomo wazi,alafu nikashangaa zaidi unamuita mtoa mada hajielewi,aisee
 
Tofautisha makosa ya barabarani na jinai ushasem kuua yaani kutoa uhai ni kitu tofauti hata kusound maskioni tu kulingana na kosa la barabarani hebu kuwa na mtazamo wa maisha halisi ya mtanzania mwenye daladala au Hiace anaingiza zaidi ya bodaboda ukichukua 30k ya boda hapo unamsaidia au unazidi kumkandamiza na tuwe wakweli madereva wengi rushwa tunatoa hata kwa gari binafsi hakuna chombo kilichokamilika njiani lipo kosa tu sehemu mm nasemaga siku ya nyani kufa mti lazima ukusaliti ndivyo barabarani palivyo kwahyo makosa yanaweza yakawa sawa mfano kupita taa nyekundu unataka boda na gari wote watoe faini sawa kweli boda bajaji ni kuwandamiza tu ndio maana wakaona wawekewe 10k kwa kosa moja na bado wanapoozwa kinoma unakuta boda anamakosa kama yote chombo hakijakamilika yeye mwenyewe hajakamilika lakini askari wetu nao wana busara wanagawana njaa hivyo hivyo

Bro kubari akili yako ndogo sio kwa kutetea ujinga kiasi hiki, kwaiyo boda boda waendelee kufanya makosa kisa chombo chao ni kidogo?

Kuua ni kuua tu haijalishi ni ajari ama kisu, inshu hapa ni uhai unapotea nenda hospital uone 90% ya waathirika wa ajari barabarani ni boda boda

Na hakuna kitu kinaboa kama kwenye vivuko vya waenda kwa miguu na sehem za trafic lights taa zinazuia ila utashangaa bodaboda zote zinakatiza tu kwamba wao sheria haziwahusu?

Tuna bahari, maziwa (victoria, tanganyika, nyasa nk) tuna misitu, hifadhi, madini karibia yote, oneo kubwa kwa kilimo bado tuna idadi kibwa ya watu ila kila bajeti ikisomwa kuna kitu tumeongeza kodi,

VAT yenyewe ni 18% inawezekana tukawa taifa lenye kiwango kikubwa cha kodi EAC, Burundi na Rwanda 90% ya bidhaa zao zinapitia kwetu nenda leo Burundi uome bei ya mafuta kwenye petrol stations zao utashangaa

Sisi tunawaza kumkamua mwananchi tu siku zote
 
Bro kubari akili yako ndogo sio kwa kutetea ujinga kiasi hiki, kwaiyo boda boda waendelee kufanya makosa kisa chombo chao ni kidogo?

Kuua ni kuua tu haijalishi ni ajari ama kisu, inshu hapa ni uhai unapotea nenda hospital uone 90% ya waathirika wa ajari barabarani ni boda boda

Na hakuna kitu kinaboa kama kwenye vivuko vya waenda kwa miguu na sehem za trafic lights taa zinazuia ila utashangaa bodaboda zote zinakatiza tu kwamba wao sheria haziwahusu?

Tuna bahari, maziwa (victoria, tanganyika, nyasa nk) tuna misitu, hifadhi, madini karibia yote, oneo kubwa kwa kilimo bado tuna idadi kibwa ya watu ila kila bajeti ikisomwa kuna kitu tumeongeza kodi,

VAT yenyewe ni 18% inawezekana tukawa taifa lenye kiwango kikubwa cha kodi EAC, Burundi na Rwanda 90% ya bidhaa zao zinapitia kwetu nenda leo Burundi uome bei ya mafuta kwenye petrol stations zao utashangaa

Sisi tunawaza kumkamua mwananchi tu siku zote
Kama unavyowaza kumkamua boda kihela chake cha ngama
 
Back
Top Bottom