Wonderful JF-Expert Member Joined Apr 8, 2015 Posts 7,347 Reaction score 5,986 Jun 24, 2015 #1 Jana akabidhiwa nyumba safi na usafiri mpyaaaaa!!!! Picha moja wapo mrs Ngassa akiwa jikoni akiandaa maakuli huku mr Ngassa akiwa kajipumzisha sofani. Attachments 1.jpg 51.7 KB · Views: 1,801 6.jpg 80.2 KB · Views: 1,814 4.jpg 36.7 KB · Views: 1,774 2.jpg 28.7 KB · Views: 1,788
Jana akabidhiwa nyumba safi na usafiri mpyaaaaa!!!! Picha moja wapo mrs Ngassa akiwa jikoni akiandaa maakuli huku mr Ngassa akiwa kajipumzisha sofani.
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,186 Reaction score 7,184 Jun 24, 2015 #2 Jamaa mjanja, sana. Kachukua mkewe yupo nae,
Msarendo JF-Expert Member Joined Jan 29, 2011 Posts 10,533 Reaction score 6,562 Jun 24, 2015 #3 wasije waka mchinja tu, maana hao wazulu kwa kuchinja hawajambo
Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 59,045 Reaction score 94,974 Jun 24, 2015 #4 Kaka Performance ndio mwisho wa kila kitu
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Jun 24, 2015 #5 Mnaanza kumvimbisha bichwa.
ISLETS JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 8,120 Reaction score 5,352 Jun 24, 2015 #6 safi sana
S Santo JF-Expert Member Joined Dec 13, 2011 Posts 497 Reaction score 95 Jun 24, 2015 #7 Itamfanya avimbe kichwa saaaana na kuathiri performance yake uwanjani
Red Giant JF-Expert Member Joined Mar 9, 2012 Posts 15,657 Reaction score 20,967 Jun 24, 2015 #8 ana usafiri wa adabu. ni jeep?
aminiusiamini JF-Expert Member Joined Aug 25, 2011 Posts 3,577 Reaction score 2,224 Jun 24, 2015 #9 Tanzania tulishindwa kumtunza mwache Mungu amoe stahili yake kutokana ba jitihada zake na fani yake. Waafrica chuki,ubaya ndio tunajua.
Tanzania tulishindwa kumtunza mwache Mungu amoe stahili yake kutokana ba jitihada zake na fani yake. Waafrica chuki,ubaya ndio tunajua.
idawa JF-Expert Member Joined Jan 20, 2012 Posts 25,284 Reaction score 38,364 Jun 24, 2015 #10 Amechelewa sana, hata hivyo Mungu amsaidie ili aujutie ujinga wa kung'ang'ania mpira wa kibongo.
definition JF-Expert Member Joined Nov 28, 2013 Posts 972 Reaction score 1,584 Jun 25, 2015 #11 ngasa bingwa waku oa iv ameindka na wake zake wote wa 3...?!!! kuptia uyu kijana naanza jifunza kuwa mapenzi aya athiri mpira(kiwango)
ngasa bingwa waku oa iv ameindka na wake zake wote wa 3...?!!! kuptia uyu kijana naanza jifunza kuwa mapenzi aya athiri mpira(kiwango)
Papupi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2014 Posts 2,028 Reaction score 3,241 Jun 25, 2015 #12 Hapo soon tutasikia ameoa mwanamke mwingine wa kizulu maana jamaa kwa kuoa huyu kama ana undugu na yule King wa taarab
Hapo soon tutasikia ameoa mwanamke mwingine wa kizulu maana jamaa kwa kuoa huyu kama ana undugu na yule King wa taarab
B bebeone Member Joined Aug 30, 2013 Posts 33 Reaction score 7 Jun 25, 2015 #13 Kachelewa saaana huyu jamaa ubongo umemdumaza...
G guasa JF-Expert Member Joined Dec 30, 2013 Posts 1,933 Reaction score 662 Jun 25, 2015 #14 Yaah ni kweli wanaosema kachelewa hayo maisha angeyaishi miaka minne nyuma ila iwe fundisho kwa wengine kuwa mpira na umri.Tumtakie mafanikio na kujitambua pia.
Yaah ni kweli wanaosema kachelewa hayo maisha angeyaishi miaka minne nyuma ila iwe fundisho kwa wengine kuwa mpira na umri.Tumtakie mafanikio na kujitambua pia.
Gordon Novel Senior Member Joined Dec 21, 2011 Posts 142 Reaction score 240 Jun 25, 2015 #15 Hivi ngassa ana umri gani?
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Jun 25, 2015 #16 Kila la kheri............
witnessj JF-Expert Member Joined Mar 22, 2015 Posts 28,704 Reaction score 47,260 Jun 25, 2015 #17 Kaondoka na mke wake au wake zake?