Haya ndio majibu ya ommy dimpoz baada kupima h.i.v hapo jana..

Haya ndio majibu ya ommy dimpoz baada kupima h.i.v hapo jana..

msafwa93

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
4,786
Reaction score
5,963
clip_image001_thumb%25255B9%25255D.png



clip_image001%25255B7%25255D_thumb%25255B9%25255D.png





Hii Ndio Post Yake kwenye Instagram Ya Star Wa Single Mpya 'Tupogo' Ommy Dimpoz Kuhusu Kupima HIV Na Kuamua Kuto Uza au Kununua Mechi Tena.
Kwenye Interview ya simu niliyo fanya nae leo, Ommy ameniambia hizi ndio sababu za yeye kupima H I V


  1. Kujua Afya ili ujilinde na uwe mtu bora.
  2. Kukinga wengine baada ya kujua afya yako pia ni muhimu.
 
kama yuko Negative si tufanyaje........

aendelee kutunza hilo Dushelele lake
 
ina maana lisa jensen na yeye yuko negative

safi sana....
 
Back
Top Bottom