vipi mkuu hili ndio jina ambalo hupendi kulisikia.Eminem wyne
1.nani huyo aliyekisema Mimi nikakialalisha kwa maandishi hapo au unamaanisha mchungaji gwajima alichokisema ndio Mimi nimekialalisha mkuu.Point ni IPI hapo sasa??? Watanzania tuna kasumba moja hatuna constructive ideas kazi yetu ni kuhalalisha alichokisema mwingine , hatuwezi kujenga taifa kwa style hizi
1.usiunganishe mada zingine na hii mada hivyo basi unatakiwa kuandika kama ifutavyo hapo chiniSilly post.
Admin hizo post sometimes futilia mbali
mbona umeguna
kwa sababu Mimi ni mkulima na mvua hazinyeshi ndio maana nimekuja kuwasumbua humu .We umeacha kuchunga ng'ombe umekuja kutusumbua humu?
1.Hebu tupe ushauri tuwe tuna jadili nini huku chit chat ukiambatanisha na mifano ya mada za invisible pamoja na mada za mzee mwanakijiji.Jamiiforums ya sasa sio ya miaka 5 mpaka saba iliyopita. Wakati ule moderator ndio walikuwa wanaazisha nyuzi. Nyuzi zilizokuwa zinatembelewa kuliko nyuzi nyingine zozoye.
Ni wakati ambao invisible au mwanakijiji alikuwa akianzisha thread hakuna kupumua.
Hawapo au hawaoni cha kuanzisha, matokeo yake waruhusu nyuzi zisizo na kichwa wala miguu kuanzishwa
na wewe kuna muda unapost km huyu ..... jirekebishe piaStupid post ever
Ifike pahala moderators wawe wana wana set some questions za kupima uelewa kabla ya kuwaruhusu wapuuzi kama mleta mada
mmmh! nyani yule haoni mnyelo wake!Stupid post ever
Ifike pahala moderators wawe wana wana set some questions za kupima uelewa kabla ya kuwaruhusu wapuuzi kama mleta mada
Hivi kumbe mkia hwa unazungumza. Sikujua.1.Hebu tupe ushauri tuwe tuna jadili nini huku chit chat ukiambatanisha na mifano ya mada za invisible pamoja na mada za mzee mwanakijiji.
2.ukishindwa kuleta hata mada mbili za mambo ya muhimu ambazo mzee mwanakijiji alikwishawahi kuzileta katika jukwaa la chit chat ujue wewe ni kama mkia ambapo mtu akisema hivi wewe unadakia.
usikwepe hoja jibu hayo maswali mawili niliyokuuliza hapo juu huku ukiweka na ushahidi pia.Hivi kumbe mkia hwa unazungumza. Sikujua.
Amini amini nakwambia siku mods wakianza kufanya hivyo hakuna post yako itasomwa humu jamvini aiseeStupid post ever
Ifike pahala moderators wawe wana wana set some questions za kupima uelewa kabla ya kuwaruhusu wapuuzi kama mleta mada
Nipooooo dah muhumini wangu i miss you alot, nashinda sana kwenye jukwaa la dini karibu sana kwenye upakobaba paroko upo miss u asee
hahahah fakalava juzi aliniambia una kigango chako baba parokoNipooooo dah muhumini wangu i miss you alot, nashinda sana kwenye jukwaa la dini karibu sana kwenye upako
Wewe shunie na fakalava tu ndiyo mlinishinda kuwaleta kwenye kigango changu ila nawapenda sana, ipo siku mtakuja tu najua,hahahah fakalava juzi aliniambia una kigango chako baba paroko
hahahahh tunakupenda pia baba paroko kwahiyo kule kwenye jukwaa pendwa umetoka mazimaWewe shunie na fakalava tu ndiyo mlinishinda kuwaleta kwenye kigango changu ila nawapenda sana, ipo siku mtakuja tu najua,
Jukwaa pendwa naingia kuwatafuta wahumini, ili niwakomboe, ila nyie shunie ndiyo mnanipa kazi sana.hahahahh tunakupenda pia baba paroko kwahiyo kule kwenye jukwaa pendwa umetoka mazima
hahahhhh usituchoke baba paroko jitahidi kutuvuta tutakufataJukwaa pendwa naingia kuwatafuta wahumini, ili niwakomboe, ila nyie shunie ndiyo mnanipa kazi sana.