Haya ndio mambo 6 niliojifunza nikiwa kwenye biashara kwa miaka 12

Haya ndio mambo 6 niliojifunza nikiwa kwenye biashara kwa miaka 12

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
1 👉Usiweke ndugu kwenye biashara ndugu wanaweza kuwa chanzo cha kukumaliza na kama utaweka ndugu basi fungua kampuni in form(active partnership) Kila mtu awajibike kwa loss za kampuni Kila mtu awe na share zake il nidhamu iwepo maana mtu ukimuajiri hawezi kujua uchungu wa wewe Kula hasara au kupoteza wateja sababu yeye cha kwake mwisho wa mwezi ni uhakika

2.👉usiweke mipango mingi ambayo huwezi kuisimamia lazima Utakula hasara
mfano kufungua biashara sehemu 10 tofauti bila usimamizi mzuri(wewe kuwa mbali) kisa tu hela unazo

3.👉Ikitokea Biashara ikafanikiwa ghafla Bila wewe kutegemea usitapanye fedha kisa una amini kesho zitarudi. Kuendekeza anasa kunamaliza fedha

4.👉mshirikishe Mungu awe mlinzi wako kwenye biashara yako (sentesi imeeleweka)

5.👉process ya kuingia kwenye utajiri ni ndefu sana lakini process ya kuwa maskini inaweza kuwa Ata dakika moja tu


6.👉Jitahidi kuwa na kiasi pesa zisikutawale ukahisi umemaliza Kila kitu

👉Ni hayo tu kwa leo. Kazi iendelee.
 
Wanasema biashara zina dark side pia vipi wewe upande wako wa dark side umeshachinja mbuzi wangapi, nakulala makubulini uchi mara ngapi...?
tusimulie lipicha lako lakutisha mkuu...😁
 
Wanasema biashara zina dark side pia vipi wewe upande wako wa dark side umeshachinja mbuzi wangapi, nakulala makubulini uchi mara ngapi...?
tusimulie lipicha lako lakutisha mkuu...😁
Yeye kachagua Mungu, na amesema hilo
 
Wanasema biashara zina dark side pia vipi wewe upande wako wa dark side umeshachinja mbuzi wangapi, nakulala makubulini uchi mara ngapi...?
tusimulie lipicha lako lakutisha mkuu...😁
Aaah🤣Ngoja nipate msosi kwanza ntakupa story hiyo
 
Kama Mungu hakusikilizi tumia ushirikina. Wafanya biashara wanaona mengi ila ni siri yao.
 
Back
Top Bottom