Haya ndio mambo yanayosibitisha kwamba Kiswahili ni lugha kubwa duniani

Haya ndio mambo yanayosibitisha kwamba Kiswahili ni lugha kubwa duniani

all about

Member
Joined
May 28, 2022
Posts
69
Reaction score
103
Hello my jf friends[emoji112] hii ni thread yangu ya pili nabandika hapa jukwaani lakini sio kwamba niko expert sana kwenye haya mambo ila ni passion tu ndo inanisukuma pia napenda kushare kama nilivyojitambulisha kule kwenye jukwaa la wageni niko na hobby zingine mbalimbali hivyo mtalajie mengi tu [emoji4]

ok let's go......

1. INATUMIKA NA VYOMBO VYA HABARI VIKUBWA DUNIANI VIKIWEMO BBC SWAHILI, DW SWAHILI NA SAUTI YA AMERIKA.

2. IMEKUWEPO TANGU KALNE NA KALNE.
Katika maeneo ya makumbusho kama vile Kilwa yapo maneno ya kiswahili yaliyoandikwa kwenye makalatasi tangu mwaka 1711 maneno hayo yenye hasili ya kiarabu yamewekwa huko India katika mji wa Goa kama moja ya makumbusho

3. KINAONGELEWA KATIKA NCHI NYINGI:
Nchi zifuatazo zinazungumza kiswahili:
Tanzania
Kenya
Uganda
yuganda, kingeleza na kiswahili
Rwanda
kinyalwanda kingeleza kifaransa na kiswahili
Burundi
Kirundi, kifaransa kingeleza na kiswahili
Afrika kusini
kiafrikana kingereza na kiswahili
Demoklasia ya Kongo
Kifaransa kingereza na kiswahili
Msumbiji
Zambia
Malawi
Komolo
kikomolo kifaransa kingereza na kiswahili
Somalia
4. NI LUGHA AMBAYO IMAZALISHWA KUTOKA KATIKA LUGHA ZINGINE KUBWA DUNIANI:

Ni ukweli husiopingika kwamba kiswahili ni mchanganyiko wa lugha nyingi ambazo ni kubwa Duniani kama vile kingeleza kiarabu na kireno, kwamfano neno swahili kwa kiarabu ni watu kutoka pwani "of[peaple] the coast" pia neno "meza" (table) kwa kireno huitwa "mesa".
 
Jitahidi uwe una hariri post zako kabla huja weka apa rekebisha matumizi ya L na R yanakushinda
 
Hello my jf friends[emoji112] hii ni thread yangu ya pili nabandika hapa jukwaani lakini sio kwamba niko expert sana kwenye haya mambo ila ni passion tu ndo inanisukuma pia napenda kushare kama nilivyojitambulisha kule kwenye jukwaa la wageni niko na hobby zingine mbalimbali hivyo mtalajie mengi tu [emoji4]

ok let's go......

1. INATUMIKA NA VYOMBO VYA HABARI VIKUBWA DUNIANI VIKIWEMO BBC SWAHILI, DW SWAHILI NA SAUTI YA AMERIKA.

2. IMEKUWEPO TANGU KALNE NA KALNE.
Katika maeneo ya makumbusho kama vile Kilwa yapo maneno ya kiswahili yaliyoandikwa kwenye makalatasi tangu mwaka 1711 maneno hayo yenye hasili ya kiarabu yamewekwa huko India katika mji wa Goa kama moja ya makumbusho

3. KINAONGELEWA KATIKA NCHI NYINGI:
Nchi zifuatazo zinazungumza kiswahili:
Tanzania

Kenya

Uganda

Rwanda

Burundi

Afrika kusini

Demoklasia ya Kongo

Msumbiji

Zambia

Malawi

Komolo

Somalia

4. NI LUGHA AMBAYO IMAZALISHWA KUTOKA KATIKA LUGHA ZINGINE KUBWA DUNIANI:

Ni ukweli husiopingika kwamba kiswahili ni mchanganyiko wa lugha nyingi ambazo ni kubwa Duniani kama vile kingeleza kiarabu na kireno, kwamfano neno swahili kwa kiarabu ni watu kutoka pwani "of[peaple] the coast" pia neno "meza" (table) kwa kireno huitwa "mesa".
Great job
 
Hello my jf friends[emoji112] hii ni thread yangu ya pili nabandika hapa jukwaani lakini sio kwamba niko expert sana kwenye haya mambo ila ni passion tu ndo inanisukuma pia napenda kushare kama nilivyojitambulisha kule kwenye jukwaa la wageni niko na hobby zingine mbalimbali hivyo mtalajie mengi tu [emoji4]

ok let's go......

1. INATUMIKA NA VYOMBO VYA HABARI VIKUBWA DUNIANI VIKIWEMO BBC SWAHILI, DW SWAHILI NA SAUTI YA AMERIKA.

2. IMEKUWEPO TANGU KALNE NA KALNE.
Katika maeneo ya makumbusho kama vile Kilwa yapo maneno ya kiswahili yaliyoandikwa kwenye makalatasi tangu mwaka 1711 maneno hayo yenye hasili ya kiarabu yamewekwa huko India katika mji wa Goa kama moja ya makumbusho

3. KINAONGELEWA KATIKA NCHI NYINGI:
Nchi zifuatazo zinazungumza kiswahili:
Tanzania

Kenya

Uganda

Rwanda

Burundi

Afrika kusini

Demoklasia ya Kongo

Msumbiji

Zambia

Malawi

Komolo

Somalia

4. NI LUGHA AMBAYO IMAZALISHWA KUTOKA KATIKA LUGHA ZINGINE KUBWA DUNIANI:

Ni ukweli husiopingika kwamba kiswahili ni mchanganyiko wa lugha nyingi ambazo ni kubwa Duniani kama vile kingeleza kiarabu na kireno, kwamfano neno swahili kwa kiarabu ni watu kutoka pwani "of[peaple] the coast" pia neno "meza" (table) kwa kireno huitwa "mesa".
Kiswahili lugha kubwa, ila umejua kukiboronga! Kiswahili gani hiki?!
 
Back
Top Bottom