Haya ndio matokeo yangu nishauri nishauri nichukue kozi gani chuo maana sitaki 6

Hata maprof wapo walioanzia cert mpaka wakafika huko. Kwa hiyo dogo kama umeamua hivyo ni sawa utafanikiwa tu! unapiga cert. mwaka m1 ukimaliza tu unaunganisha dipl. miaka miwili. Ukitaka sasa unaweza kwenda kwenye shahada ya kwanza ambako hata yule aliyeenda 5 utakuwa naye. kama atakuwa ameenda JKT mwaka m1 utasoma naye mwaka mmoja ama sivyo atakutangulia mwaka m1. Hivyo uamuzi wako uko sahihi tu!
 
nashkuru familia yangu ina uwezo wa kunisomesha chuo chochote tz
 
kwani mtu akiwa amepasi si anakuwa na uwezo wa kuanza diploma ?maana zanzibar inakuwa hvo
 
hongera sana kwa kufaulu njia hiyo unayoitaka kuitumia wewe ni nzuri sana kwa watu waliosoma sayansi ambao wapo interested katika mambo ya health na engineering ila kwa kombi uliyosoma wewe mi nakushauri nenda advance!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…