Haya ndio matunda ya safari za nje za JK!

nimatembezi na ufahari mwingine usio na maana
 
nimatembezi na ufahari mwingine usio na maana
Si kuna kipindi walikuwa wanasema firstlady wa jamaa ni mjamwepesi?? na yeye atapakiwa kwenye bajaj? ntapenda kuona bajaj nayo ina namba za magogoni
 
Its his time to enjoy in the position he was dreaming for ten years before won the election in 2005
 
Si kuna kipindi walikuwa wanasema firstlady wa jamaa ni mjamwepesi?? na yeye atapakiwa kwenye bajaj? ntapenda kuona bajaj nayo ina namba za magogoni

Usielewe vibaya Mkuu wangu. Mwenyewe alimaanisha hii gari hapa chini:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…