zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Akijibu nitag mkuuhizo percent amezipataje?
Nashindwa kuelewa kazipataje kwasababu hakunipa source nahisi alifanya research yeyehizo percent amezipataje?
Akili ya kuambiwa changanya na zako.Nashindwa kuelewa kazipataje kwasababu hakunipa source nahisi alifanya research yeye
Akili ya kuambiwa changanya na zako.
Hizo % zenyewe zimezidi 100. How?
Ila asilimia wabongo tulikalilishwa lazima iwe mwisho 100%huwa zinavuka wakati mwingineHahahahhahah
Kwa scenario yako hapo juu haiwezekani kuvuka 100%.Ila asilimia wabongo tulikalilishwa lazima iwe mwisho 100%huwa zinavuka wakati mwingine
Bora umemuelewesha. Hisabati ni ngumu sana.Kwa scenario yako hapo juu haiwezekani kuvuka 100%.
100% inaweza kuvukwa kama malengo/kiwango/makadirio nk uliyoweka awali yamevukwa, mfano ulitarajia kwa mwezi kukusanya mapato ya Tzs 1000 then ukakusanya Tzs 1400 kwa mwezi husika, hapo utasema nimekusanya mapato kwa 140%. Yaani umevuka malengo kwa 40%.
Wewe ndio umekariri. Inaonekana uelewa wako ni mdogo sana. Nasema hivi kupitia uzi wako na comments zako pia.Ila asilimia wabongo tulikalilishwa lazima iwe mwisho 100%huwa zinavuka wakati mwingine
Uelewa unapimwa kupitia comments au?Wewe ndio umekariri. Inaonekana uelewa wako ni mdogo sana. Nasema hivi kupitia uzi wako na comments zako pia.
Nakubali huwa sikatai neno banaBora umemuelewesha. Hisabati ni ngumu sana.
Dah!Acha Urongo.View attachment 1564593
Dah.....Dogo.......asilimia ni namba ambayo iko chini 100....ni namba ambayo inaonesha kiasi cha kitu kutoka katika kitu kizima...mfano ukigawa chungwa kwa watu wawili kila mmoja atapata nusu..1/2...yaani 50% ambayo ni 50/100...Ila asilimia wabongo tulikalilishwa lazima iwe mwisho 100%huwa zinavuka wakati mwingine
Kuna jamaa eti ameniambia Asilimia za maongezi ya watanzania ziko hivi..
1.Siasa wanaziongelea asilimia 30%
2.Mpira wanauongelea asilimia 50%
3.Muziki na Burudani asilimia 20%
4.Babes na magashi asilimia 10%
Mambo ya msingi na kujenga taifa asilima 000.001%