Plat ...Mzee MS
Utaonekana unachochea kejeli kama hizi ikiwa utaona kwa upande mmoja. Siku hizi Vijana waliokosa adabu wapo katika kila jamii. Hujawahi kusoma Watu wa imani flani wakiitwa Wagalatia?
Shekh Kaluta yuko wapi kwenye hiyo picha?!
Gag...Shekh Kaluta yuko wapi kwenye hiyo picha?!
Inategemea unavyolipokea jambo.Che...
Kutukanana na "name calling" hakufai.
Che...Inategemea unavyolipokea jambo.
Kwa mujibu wa Dini ya Kiislamu mimi Mkristo ni Kafiri.
Kwakuwa sio Mwislamu.
Mimi nikiitwa hivyo na Mwislamu naona kawaida tu.
Kuvaa kobazi siyo sifa mbaya kwakuwa sio dhambi na ni vazi zuri na linalovaliwa na jamii nyingi sana Duniani.
Ila kama mtu anaona siyo jina zuri basi ni kwa upande wake.
Wengine wanaona kawaida tu.
Ha..ha..haChe...
Hilo nilifahamishwa na Sheikh Haruna mwalimu wangu wa chuoni akituambia kuwa sisi tumefunzwa ndiyo tukawa hivi tulivyo.
Akitoa mifano mingi.
Mmojawapo ni huu akisema sisi tukiingia msalani tunahakikisha tunatoka wasafi kwa kila hali kwa shida kubwa na ndogo.
Kisha juu ya hayo tunachukua udhu.
Akasema tutakutana na watu walikotoka kwao hawakupitishwa katika haya.
Haya kwao ni mageni na hayapo kabisa.
Hawa ni lazima tuwaelewe.
Wengine hawajui baina ya tusi na neno jema.
Yote kwao ni sawa.
Usichukue kuwa katukana.
Kwao ni kawaida.
Wewe ndiye ulijualo neno baya yeye hajui.
Kawaida yako ni kinyume cha kawaida yake.
Hawa uishinao kwa wema na wafunze kile kilichochema ikiwa wenyewe watataka na kupenda.
La hawataki.
Kaeninao kwa ihsani yaani wema.
Msigombane na wao kwa kile ambacho wenzenu hawakujaaliwa.
Ila wewe ushukuru kwa kujaaliwa kile ambacho wengine hawakupewa.
Uislamu unapendwa sana hakuna anayechukia ila watu wachache wanatumia njia hiyo kuutambulisha vibaya
Mnafiki mkubwa wewe,, we si kila siku unaanzisha uzi kuwakashifu waislam na uislam,, yani sijui hata wamekukosea nini waislam na uislam,, alafu leo unakuja na unafiki wako hapa,, ningekujibu maneno ya kuudhi kabisa ila kwa heshima ya shekhe Mohammed Said nakuweka kiporo, najua nitakuona kwenye nyuzi zako zile za kashfa dhidi ya uislam na waislam,,Uislamu unapendwa sana hakuna anayechukia ila watu wachache wanatumia njia hiyo kuutambulisha vibaya
Mnafiki mkubwa wewe,, we si kila siku unaanzisha uzi kuwakashifu waislam na uislam,, yani sijui hata wamekukosea nini waislam na uislam,, alafu leo unakuja na unafiki wako hapa,, ningekujibu maneno ya kuudhi kabisa ila kwa heshima ya shekhe Mohammed Said nakuweka kiporo, najua nitakuona kwenye nyuzi zako zile za kashfa dhidi ya uislam na waislam,,View attachment 2522301
Baraza la ulamaa halina muda na wapumbavu wa humu jf,, huyu nitamnyoosha mwenyeweHuyo apelekwe kwenye Barza La Maulamaa ashughulikiwe kwanza apate akili mgalatia mkubwa huyo
Baraza la ulamaa halina muda na wapumbavu wa humu jf,, huyu nitamnyoosha mwenyewe
Che...Ha..ha..ha
Mzee wacha kunipaka mafuta ya Korosho.
Ila nakujua Mzee hutaki kabisa misuguano.
Wewe ni Mzee mwenye Hekima na Busara tele.
Vijana wa Karne hii hawawezi kugundua busara zako.
Ndio maana sisi tusha wazoea na kubaki kutulia tu.
Wakikejeri tunawachukulia kawaida tu.
Sawa Mzee nimekuelewa Vizuri sana.
Yake ni maraiyoo au katambugaUlisema makobasi akili inayonijia ni Yale ya wamasai
Ninauhakika jibu lipo misikitini na makanisani, hebu tukaliangalie jibu siku ya Ijumaa mchana na Jumapili asubuhi, naamini tutajiridhisha.HAYA NDIYO MAKOBAZI
Makobazi ni viatu vinavyovyaliwa kwa wingi na watu wa Pwani ya Afrika ya Mashariki.
Hivi ni viatu wanavyovaa wanaume.
Juu ataweka kofia pengine ya ya mkono.
Itafata kanzu pengine ya Dariz.
Juu ya kanzu linaweza kuja koti.
Chini ya kanzu utakuja msuli au saluni kwa jina lingine na chini atahitimisha kwa makobazi.
Kwa hakika hili ni vazi maarufu la Waislam lau mtu yeyote anaweza kuvaa akipenda.
Haikatazwi.
Bahati mbaya sana nimesoma mara kadhaa hapa JF viatu hivi kugeuzwa kuwa ndiyo alama ya Waislam na kwa kejeli Waislam wakaitwa, "Wavaa Kobazi."
Kivazi hiki cha kupendeza kikageuzwa kuwa tusi.
Mimi hujiuliza.
Uadui huu na chuki hizi zimetokea wapi?
Uadui huu na chuki hizi nini chanzo chake?
Najiuliza haya kwa kuwa naijua historia ya Tanganyika ilipokuwa inapigania uhuru wake harakati hizi zikiongozwa na TANU chini ya Julius Kambarage Nyerere.
Nyerere hakuwa Muislam lakini waliomtanguliza mbele wengi wao walikuwa Waislam na kivazi chao ni hayo makobazi kanzu na kofia.
Mwalimu kuna wakati akipenda sana kuvaa kofia ya mkono.
Uhuru ukapatikana mwaka wa 1961.
Tanganyika ikawa taifa huru lenye umoja na heshima yake ulimwenguni.
Hii chuki ya kuchukia Uislam na Waislam kiasi Muislam akapewa lakabu ya kiatu chake avaacho imetokea wapi?
View attachment 2521724
Baraza la Wazee wa TANU 1957
View attachment 2521736
Che..mwehu tu.Che...
Ninayo majibu lakini staha inanikataza kukujibu hivyo kwani nami nitakuwa natukana.
Ukitumia akili yako kidogo tu utafahamu.
Julai...Che..mwehu tu.
Chuk iliyo kifuan mwake kubwa kushinda anayoidhirisha. Lakin hatafuzu maaan wallipita wenye nguvu waliokuwa na chuki kushinda yeye ila leo wapo museums huko wamehifadhiwa...aende Cairo akaone